Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Kwa wale activists wa human rights and rule of law ni wazi kwamba mhariri wa mwananchi la leo amepeleka meseji iliyosheheni utetezi na ukweli kuhusu hasa kilichofanywa na polisi pamoja na serikali. Binafsi nawapongeza kwa ujasiri huu wa kueleza kinagaubaga kile ambacho wengi tunakililia. Hakika mmeakisi matakwa ya wengi na kwa mara nyingine mmekuwa jukwaa la wanyonge. Ujumbe wenu hautafutika na kwa kweli na kwa vyovyote vile come 2015 tutautumia kuwasaka wote waliohusika na unyama huu.