TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Ukitaka kujifunza jinsi ya kujua tahajud hapa sio mahali pake ndugu yangu kila kitu huwa na mahali pake ila tunachokosea ni kuweka kitu mahali sio pake nina uhakika kabisaa unaweza kujifunza jinsi ya kujua kuswali tahajud kwa kutumia vitabu lkn sehemu km hii ambayo wengi waliokuwepo sio waislamu sio mahali pake nenda kwenye maktaba sehemu zenye vitabu au msj mtoro kuna shehena la vitabu utajifunza vitu kuliko hapa nikukupa either hutaelewa au utabisha au sijajua una nia gani ya kutaka kujua au kutaka kupinga kwani wengi waliokuwa ktk hii forum either wanatumia sana akili zao kupinga wala sio kujua nadhani utakuwa umeelewa na km ni uvivu wa kusoma dini yk nitakupa pole sana ndugu yangu ila hujachelewa nenda katafute vitabu usome pkee yako na uelewe halfu usipoelewa ndio ututafute
 
Ukitaka kujifunza jinsi ya kujua tahajud hapa sio mahali pake ndugu yangu kila kitu huwa na mahali pake ila tunachokosea ni kuweka kitu mahali sio pake nina uhakika kabisaa unaweza kujifunza jinsi ya kujua kuswali tahajud kwa kutumia vitabu lkn sehemu km hii ambayo wengi waliokuwepo sio waislamu sio mahali pake nenda kwenye maktaba sehemu zenye vitabu au msj mtoro kuna shehena la vitabu utajifunza vitu kuliko hapa nikukupa either hutaelewa au utabisha au sijajua una nia gani ya kutaka kujua au kutaka kupinga kwani wengi waliokuwa ktk hii forum either wanatumia sana akili zao kupinga wala sio kujua nadhani utakuwa umeelewa na km ni uvivu wa kusoma dini yk nitakupa pole sana ndugu yangu ila hujachelewa nenda katafute vitabu usome pkee yako na uelewe halfu usipoelewa ndio ututafute
jibu mujarab,humu wamejaa wagalatia hii post yaweza geuka ikawa kukashifiana,kuna jamaa humu ndani namfaham kama kahtaam sijui nimepatia jina,mtafute private upate ilimu.
 
Wewe post #2 futa comment hiyo, haina msaada kwa mleta mada.
Sifuti bora ibaki isiwe na msaada lkn nimeongea ukweli hata hali ilivyongumu sasa hivi tatizo ni kuweka kitu mahali si pake so wacha tuisome number na huyu ndugu anayetaka kujua km kweli ataka kujua atajua km anataka kujua mihemko ya watu itakuwaje au atajibiwaje basi amenoa atafute kingine chakufanyaa maana kuna jamaa anajiita jeremia edward aliweka kwa maksudi kabisa kwakutumwa au kwa kutokujua nguruwe juu ya alhaaba alitumwaa afanye vile halafu wakaae pembeni ili waangalie mchezo utakavyokuwa halafu ianze kamata kamataa ya watu huko kote ni kuweka kitu mahali sio pake au ulishawahi ona wanaojiita waislamu wakidhihaki dini either kwa kumchora kiongozi wao wa kanisa kuwatukana au kukichoma kitabu cha bible mbele ya halaiki hutowahi kuja kusiki au kuona cha kujiuliza kwanini upande wa pili wanafanya mifano hiyo niliyotoa yote ndio imenipelekea kutokufuta au kutokujibu swali la huyo muulizaji na aache uvivu na kuuliza maswalia ya dini yk yanayomuhusu humu km yy alichukuwa miaka nenda rudi kusoma cicula lkn ashindwaje kuchukuwa hata mwaka mmoja kujua dini yake si kumdhihaki Mungu huko
 
Hapo tuseme ni 'lugha gongana'
Tahajud- kwa maana ya ibada maalumu ya usiku baada ya isha(witri) kwa waislamu.

Tahajud-kwa maana ya meditation ambayo nadhani ndio makusudio ya muulizaji
 
Unaulizia tahajud au tahajudi(meditation) kama meditation tafuta nyuzi intelligence za kina Rakims na wengineo
 
Kuna thread zipo jukwaa hili hili la jamii intelligence.
Tafuta thread yenye title "mwanzo wa meditation/jinsi ya kufanya tahajud

Nimekutage kwenye hiyo thread mkuu
 
Kwa kuweza kuongeza uwezo wa kuwa na concentration. Pia kwa kuweza kuiongoza akili hasa inapokuwa distracted na negative mental faculties.
Hivi unaposema inaongeza concentration unamaanisha nini? kwamba mtu asiye na concentration anakuwaje wakati wa mazungumzo?
 
Mkuu LifeHacker,

Usitake kudanganya watu humu na kuwatisha kuhusu Tahajudi/meditation na kuilinganisha na paganisim, hadi kuwatishia kuwa ni uchawi!. No!, sio kweli!.

Meditation ni concentration on focus to gain insight ambayo ndio source of powers!.

Hata Yesu alifanya meditation!.

Kwenye mada yangu hii [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo Ila Hawajitambua!.[/h]Nimezungumzia Sisi binadamu wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, God is Power!, na ametupa hizo powers kwa kila mmoja wetu, (Omnipresence), pale alipotupulizia pumzi ya uhai!. Ili kuweza kuzitumia hizo powers, lazima ufanye meditation to get insight, na kuzifungulia zilikofungiwa!.

Kwenye uzi ule, pia nilimzungumzia shetani na source yake, na nikawatahadhirisha watu humu kuwa hata shetani, naye pia ana powers na pia yuko popote, na ili kuzitumia nguvu za shetani, pia watu hufanya meditation!.

Pia nikatoa somo kuhusu Nguvu za Mungu ni "Nguvu za Mwanga" (Powers of Light) na nguvu za shetani ni "nguvu za giza", "powers of darkness" na kutoa angalizo kubwa na makini kabisa kuwa "the deviding line" between "Powers of Light" and "powers of darkness" ni very thin!. Nikasema Yesu alituonya kuwa sio kila anayeita "Bwana Bwana!", ni wangu!", "Watakuja watu, watafanya ishara kwa jina langu lakini sio wangu!", akimaanisha sio kila Mhubiri anayefanya miujiza kwa kuhubiri kwa Jina la Yesu, ndio anatumia nguvu za Mungu!, wengine wanatumia nguvu za giza!. Wako wengi wetu humu duniani, wanafuata dini fulani na mafundisho fulani wakidhani ndio wanamtumikia Mungu, kumbe wanamtumia shetani bila kujijua kwa sababu shetani nae ana nguvu na amepozi kama mungu!.

Ili kuweza kuijua "kweli" ni lazima ufanye meditation, ili uweze kufunuliwa!.

Hata baadhi ya Walokole kibao tuu, kwenye ibada zao za mikesha, wanafanya meditation, na pale wanapofunuliwa na kunena kwa lugha, wengi wakiamini huyo ndio "Roho Mtakatifu!", its not necessarily so!, nyingine ni "liroho!" hivyo bila meditation huwezi kuijua kweli na bila kujua unaweza kuingizwa chaka!.

Mkuu Mtambuzi yuko very right, watu wafanye Tahajudi wajitambue!. Hata wewe Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker) nilikusoma mahali uko deep!, kitendo tuu cha kushika vitabu vitakatifu kama Biblia Takatifu au Quaraan Tukufu, kuvisoma huku umetulia!, ni Tahajudi Tosha!.

Pasco.
Unanikoshaga sana a see"
 

Similar Discussions

66 Reactions
Reply
Back
Top Bottom