leo nimefika ktk ATM ya AZANIA MASDO HOUSE - Samora Avenue na kutka kutoa Pesa. kwa bahati baada ya kuingiza data zangu na kutaka kutoa pesa system ilikataa kutoa.
lkn tayari system hiyo imeonyesha pesa nilizotaka nimezipata. kwa ufupi zimepungua kwenye A/C yangu huku pesa hazikotuka.
TAHADHIRI NDUGU
Kinachotokea kwamba baadhi ya user baada ya kufanya transaction na kukusa kutoa fedha hizo hawaangalii A/C yao. kumbe hata kama pesa hazitoki lkn mkato kama kawaida na a/c yako imepungua
inaonesha hata system za bank nyengine leo ndio hivi hivi
lkn tayari system hiyo imeonyesha pesa nilizotaka nimezipata. kwa ufupi zimepungua kwenye A/C yangu huku pesa hazikotuka.
TAHADHIRI NDUGU
Kinachotokea kwamba baadhi ya user baada ya kufanya transaction na kukusa kutoa fedha hizo hawaangalii A/C yao. kumbe hata kama pesa hazitoki lkn mkato kama kawaida na a/c yako imepungua
inaonesha hata system za bank nyengine leo ndio hivi hivi