johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,445
Ilitolewa na nani?Swala la kuzimwa kwa internet lilitolewa mapema sana mwezi huu mwanzoni na hata mwezi uliopita wa tisa, watu tukashindwa kuchukua tahadhari.
Ilitolewa na nani?Swala la kuzimwa kwa internet lilitolewa mapema sana mwezi huu mwanzoni na hata mwezi uliopita wa tisa, watu tukashindwa kuchukua tahadhari.
banning socia; media is a lastly weapon commonly used by all DICTATORS worldwideMagufuli ni hopeless sinner!Mara zote duniani kufunga mitandao na internet,kutumia jeshi na intelligence katika kuendesha uchaguzi ndiyo imekuwa silaha ya mwisho ya madikteta wote waliokuwa wanakaribia kuanguka madarakani... I never thought CCM inaweza kuja kuanguka kwa style hii na kwa mbinu za kijinga hivi.
wamefanikiwa kudhibiti hata baadhi vpn mostly hazifanyi kaziSwala la kuzimwa kwa internet lilitolewa mapema sana mwezi huu mwanzoni na hata mwezi uliopita wa tisa, watu tukashindwa kuchukua tahadhari.
Hahahahahhahahahaha, hata google bado ipo hewaniIla xvideos ipo hewani so I think am in safe hands.
Kwan tunapigia kura mtandaoniUchaguzi unatakiwa kuwa free and fair.
Sasa unapozima mitandao ina maana kuna njia chafu zinataka zitumike.
Kwahio huu uchaguzi sio tena free and fair.
Washatuminya tena raia haki yetu ya msingi ya ku access internet.
Wewe jamaa ni mjinga namba moja JF!Huko VPN hakuaminiki tusifungue
Mi nadhani kufungwa kwa hizi internet ndo kutasaidia kila mmoja kupiga kura kwa uhuru wake mwenyewe na akili yake binafsi bila kujazwa na propaganda za mtu maana tayar muda wa kampeni ushaisha hivo haihitajiki tena kuendelea kushawishi mpiga kura na ndo maana hata wakati wa kwenda kituo cha kupiga kura huruhusiwi hata kuvaa sare ya chama chochote.tupige kura tuache tume na mawakala wetu tuliowaweka wenyewe wafanye kazi ili tupate kura halali na zenye utashi wa mtu binafsi.mungu ibariki TzSwala la kuzimwa kwa internet lilitolewa mapema sana mwezi huu mwanzoni na hata mwezi uliopita wa tisa, watu tukashindwa kuchukua tahadhari.
Kwa hiyo wewe na akili yako kabla ya mtandao palikuwa hakuna uhuru wa uchaguzi, punguza kiwango cha ushamba ndg, uhuru wa uchaguzi na internet havihusiani.Uchaguzi unatakiwa kuwa free and fair.
Sasa unapozima mitandao ina maana kuna njia chafu zinataka zitumike.
Kwahio huu uchaguzi sio tena free and fair.
Washatuminya tena raia haki yetu ya msingi ya ku access internet.
Boss hatupigi kura mitandaoni bali mitandao ilitusaidia tu kufanya kampeni.Uchaguzi unatakiwa kuwa free and fair.
Sasa unapozima mitandao ina maana kuna njia chafu zinataka zitumike.
Kwahio huu uchaguzi sio tena free and fair.
Washatuminya tena raia haki yetu ya msingi ya ku access internet.
Nikweli ila wao walifunga kabla muda was kampeni haujaisha.Mi nadhani kufungwa kwa hizi internet ndo kutasaidia kila mmoja kupiga kura kwa uhuru wake mwenyewe na akili yake binafsi bila kujazwa na propaganda za mtu maana tayar muda wa kampeni ushaisha hivo haihitajiki tena kuendelea kushawishi mpiga kura na ndo maana hata wakati wa kwenda kituo cha kupiga kura huruhusiwi hata kuvaa sare ya chama chochote.tupige kura tuache tume na mawakala wetu tuliowaweka wenyewe wafanye kazi ili tupate kura halali na zenye utashi wa mtu binafsi.mungu ibariki Tz
U must be sick buddy! X videos? Safe hands? Got to see a doctor!Ila xvideos ipo hewani so I think am in safe hands.
Swali langu ni:- Hivi ndio wamezima moja kwa moja for good or forevere? What next ikiwa uchaguzi utaisha?kweli wamezima na leo usiku saa 9 naona walizima kabisa mpaka backbone ila naona kuanzia saa 12 atleast imeanza kujisogeza
Nenda pakua thundervpn kila kitu saaafi kama zamaniNasikia eti Pole pole na Pombe wao plus genge lao wao wanawasiliana vema tu.
Hivi hiki walichofanya si ni kuongeza hasira kwa watanzania including ccm wenyewe. Mimi nimekosa hela ya matibabu toka jana. Hakuna miamala
Nenda pakua thundervpn kila kitu saaafi kama zamani
wewe Kama sio pole pole Basi itakuwa POMBE mwenyewe dadeqHuko VPN hakuaminiki tusifungue
wewe Kama sio pole pole Basi itakuwa POMBE mwenyewe dadeq