Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Kwa wakazi wa Mwananyamala na maeneo mengine ya jiji la Dar es Salaam kuweni na tahadhari na mda na njia mnazopita.
Siku ya jana wamesumbua watu maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa kwa kuwapora pikipiki na mabegi ya wanafunzi waliokuwa wanatokea Kairuki wanaoishi Mwananyamala.
Nakushauri usitembee na mabegi wanayoita 'ya pc' watakung'oa mgongo.
Unaposikia hili waambie na mwenzio
Siku ya jana wamesumbua watu maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa kwa kuwapora pikipiki na mabegi ya wanafunzi waliokuwa wanatokea Kairuki wanaoishi Mwananyamala.
Nakushauri usitembee na mabegi wanayoita 'ya pc' watakung'oa mgongo.
Unaposikia hili waambie na mwenzio