Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Jirani kabisa na Ubungo bus terminalTBS ipi, hii hii iliyopo Ubungo au nyingine?
Jirani kabisa na Ubungo bus terminalTBS ipi, hii hii iliyopo Ubungo au nyingine?
TBS ipi, hii hii iliyopo Ubungo au nyingine?
Kuna huyu mjasiriamali anayeitwa Mount Meru Petroleum, hii ndiyo biashara yake kuu Arusha na Singida, nami ni mmoja wa wateja wake. Kama kuna ukweli kwa hili jambo basi inatisha maana mafuta haya yamekuwa ndiyo option ya wengi kwa miaka hii.
We unachekesha kweli, unafikiri intelijensia ipo kwaajili ya kukulinda wewe au? Ipo kwaajili ya kuhakikisha magamba wanatawala milele wananchi wanajilinda wenyeweWataalam wa inteligency je ni kweli? isije kuwa ni mawazo ya mtu na story za vijiweni mnatuletea humu.
Mkuu nimekuelewa sana tuu! KI UKWELI TBS HAKUNA KITU KABISAA!TBS ipi, hii hii iliyopo Ubungo au nyingine?
Miaka miwili iliyopita niliwahi kupashwa habari na whole seler wa mafuta ya alizeti jijini dsm kuwa madukani sasa kuna mafuta ya alizeti ya aina mbili.
Aina ya kwanza ni yale yalikamuliwa kwa njia ya kawaida - haya sina ugonvi nayo.
Aina ya pili ni mafuta yanayokamuliwa kutoka katika mashudu baada ya ukamuaji wa kawaida kumalizika - haya ndiyo shaka langu.
UKAMUAJI HUFANYIKAJE?
Mashudu ya alizeti humwagiwa ETHANOL kisa mafuta yaliyobaki ndani ya mashudu hujitenga.
Kutokana na biashara hii mashudu ya alizeti yamepanda bei kuliko kawaida. Nawashauri mtumie mawese ili musipofuke.
heri kula chukuchuku