mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Wakuu, Pamoja na kwamba boda boda Ni moja Kati ya ajira zinazowaokoa vijana wengi na kuwainua kiuchumi, Lakini baadhi yao aidha hawajui maana ya kujiajiri au wanatumika kuwahujumu maboda original, au sometimes wanakuwa na tamaa zisizo za msingi!!
Kuna binti mmoja kitaani hapa alinusulika kubakwa na boda nyakati za usiku, kaingia town late kidogo kutoka mji mmoja mitaa ya saa 6 night, kaita boda , wamekubaliana Bei, safari ikaanza, jamaa alivyofika mahali Kuna uwazi kdogo na majani , akasimamisha chuma yake , huyo binti kamuuliza kulikoni??
Jamaa akamwambia shuka kidogo, kisha from no where si akamnyan'ganya phone na noti kisha kampiga mtama, mara binti chini, jamaa akaanza kuforce kula mzigo kimazabe hku akimtishia ukipiga kelele nakuua!
Kabla jamaa hajaanza shughuli ghafla ukatokea mwanga mkali ikabidi mbakaji na jangili atimke, kumbe Ni boda TU naye alikua anarejea home akashangaa kuona boda katoka kwa speed afu bint yuko pale chini kandokando ya Barabara.
Kamuuliza kulikoni, ikabidi ampe full mkanda akshauri aliport Polisi!
Haya mambo yamezidi ndugu zangu, juzi Kati boda mmoja mida ya 11 alfajiri yuko harakati kakutana na mwana dada mmoja anajifanya msafiri kumbe ni chambo!!
Boda anampeleka sijui Nini kilitokea, umeokotwa mwili asubuhi jamaa kachinjwa shingoni, damu tupu zimezagaa chini na pikipiki haipo!!
Jamani jihadharini huko mliko!!
Kuna binti mmoja kitaani hapa alinusulika kubakwa na boda nyakati za usiku, kaingia town late kidogo kutoka mji mmoja mitaa ya saa 6 night, kaita boda , wamekubaliana Bei, safari ikaanza, jamaa alivyofika mahali Kuna uwazi kdogo na majani , akasimamisha chuma yake , huyo binti kamuuliza kulikoni??
Jamaa akamwambia shuka kidogo, kisha from no where si akamnyan'ganya phone na noti kisha kampiga mtama, mara binti chini, jamaa akaanza kuforce kula mzigo kimazabe hku akimtishia ukipiga kelele nakuua!
Kabla jamaa hajaanza shughuli ghafla ukatokea mwanga mkali ikabidi mbakaji na jangili atimke, kumbe Ni boda TU naye alikua anarejea home akashangaa kuona boda katoka kwa speed afu bint yuko pale chini kandokando ya Barabara.
Kamuuliza kulikoni, ikabidi ampe full mkanda akshauri aliport Polisi!
Haya mambo yamezidi ndugu zangu, juzi Kati boda mmoja mida ya 11 alfajiri yuko harakati kakutana na mwana dada mmoja anajifanya msafiri kumbe ni chambo!!
Boda anampeleka sijui Nini kilitokea, umeokotwa mwili asubuhi jamaa kachinjwa shingoni, damu tupu zimezagaa chini na pikipiki haipo!!
Jamani jihadharini huko mliko!!