Elections 2010 Tahadhari: Siku ya uchaguzi kutakuwa na mvua Maeneo ya Pwani

kasyabone tall

JF-Expert Member
Sep 13, 2009
254
59
Ndugu waheshimiwa,Wakati nikijipanga kupiga kura yangu siku ya tar 31, nimekuwa nikiangalia hali ya hewa ili mtu asijesingizia hali ya hewa ilikuwa mbaya na hakujua. Mpaka sasa inaonekana kuwa maeneo ya pwani yatakuwa na mvua siku hiyo, Hivyo kwa taadhari tu, ni muhimu kujiandaa kukabiliana na hali hiyo isije ikakuzuia kupiga kura. Nimeona ni taarifa muhimu kwa watu wa maeneo ya Pwani. Tutaendelea kutarifiana hasa katika kipengele hiki cha hali ya hewa. Asanteni sana.

Source:GFS Forecast of Vertical Velocity and Precipitation
 
Ahsante mkuu, ikiwezekana ujumbe upelekwe kila sehemu kuwaandaa watz kukabiliana na hiyo hali.
 
Sio kwamba tutakuwa msibani tena??? kwani ule msiba umeeishia wapi tena? hata yeye hata kufa?? Haya asante tutaenda kupanda mbegu njema( CHADEMA)
 
Itakuwa ni ishara njema ya kujinasua kwenye makucha ya UFISADI
 
Jamani mpaka sasa maeneo ya pwani yanamvua hasa Zanzibar, wahimize ndungu,jamaa na marafiki wakapige kura.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom