TAHADHARI Punguzeni Kupenda vya Kupewa

Hata nchi imeshachukuliwa nyota kwa ajili ya kuomba2 ndiyo maana maisha ni magumu daima dumu! We fikiri kiongozi anapewa suti/nguo anaachia Mali zake zichukuliwe. Watu wanashangaa kama binadamu alivyo na nyota hata nchi ni vile2. Ukitaka kujua angalia nchi za afrika, kuna zinazo ng'aa (ziko peponi) nyingine ni nyeusi hazionekani (ziko kuzimu). Hata kwenye mialiko haziitwi! Huko kuzimu nyota zinapelekwa na hao waliopewa dhamana.
 
Sasa nan amekuambia hafany kazi blalfaken wewe tumia akili
Wewe ni mmoja kati ya wapumbavu wakubwa hapa. Unaleta ujinga wako wa imani potofu kupotosha watu eti nyota zimechukuliwa. Ujinga gani huu. Binadamu tangu lini akamiliki nyota.
 
Wadanganye wajinga Wewe ambaye nyota Yako haijachukuliwa unautajiri gani hapo ulipo,unataka watu wakatae misaada eti nyota itachukuliwa,huo ni upumbavu tu,fikiria mutu anaumwa eti akatae msaada wa Hela ya matibabu eti nyota itachukuliwa,watakuamini mazezeta wenzio,siku wakiwa na shida watakufa na tai shingoni wanaogopa nyota itachukuliwa,Imani za enzi ya ujima hizo
 
Inawezekana ukawa una hoja ya msingi sasa embu dadavua vizuri ueleweke ni kwa namna gani hiyo nyota inachukuliwa?

Kwa mfano mm ni maskini nikapewa msaada na huyo tajiri ambae amechukua nyota yangu kwa kunipa msaada je huo umaskini wangu unakuwaje?
Yaan nabaki kuwa maskini or nakuwa tajiri kama yeye or nakuwa maskini zaidi?

Na kwa mfano mm ni tajiri nikapewa pesa na tajiri mwenzangu halafu akachukua nyota yangu je nabaki na utajiri wangu or matajiri wao hawachukuliwi nyota zao?au tajiri nae atafirisika baada ya nyota yake kuchukuliwa?

Je maskini anaweza kuchukua nyota ya tajiri akawa tajiri na halafu tajiri akafilisika akawa maskini?

Hizo nyota zinachukuliwaje?ktk mazingira gani?na je ukishachukuliwa nyota unaweza kuirudishaje?yaan unatakiwa ufanye nn ili kurudisha hiyo nyota ilichukuliwa.
Ukinijibu haya maswali naweza kukuelewa na kusadiki ulichozungumza ila ukija ngonjera zozote zile itakuwa ni story za kijiweni.
 
Inawezekana ukawa una hoja ya msingi sasa embu dadavua vizuri ueleweke ni kwa namna gani hiyo nyota inachukuliwa?

Kwa mfano mm ni maskini nikapewa msaada na huyo tajiri ambae amechukua nyota yangu kwa kunipa msaada je huo umaskini wangu unakuwaje?
Yaan nabaki kuwa maskini or nakuwa tajiri kama yeye or nakuwa maskini zaidi?

Na kwa mfano mm ni tajiri nikapewa pesa na tajiri mwenzangu halafu akachukua nyota yangu je nabaki na utajiri wangu or matajiri wao hawachukuliwi nyota zao?au tajiri nae atafirisika baada ya nyota yake kuchukuliwa?

Je maskini anaweza kuchukua nyota ya tajiri akawa tajiri na halafu tajiri akafilisika akawa maskini?

Hizo nyota zinachukuliwaje?ktk mazingira gani?na je ukishachukuliwa nyota unaweza kuirudishaje?yaan unatakiwa ufanye nn ili kurudisha hiyo nyota ilichukuliwa.
Ukinijibu haya maswali naweza kukuelewa na kusadiki ulichozungumza ila ukija ngonjera zozote zile itakuwa ni story za kijiweni.

Na mimi nasubir jibu hapa
 
Back
Top Bottom