Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo ni tahadhari Kwa wadada tu Sio? Kwamba wasipokee hela Kwa wakulungwa..
Pesa inaongea.. Ndio ujifunze kuongea nayo.. Ujue lugha yake.. Utaitumia... Haitakutumia....
Kwa wote kwamaana kuna hata mafala ya kiume yanapenda kupewa hela hovyo