Tahadhari na maoni- Mabenki punguzeni riba mfanye biashara na wajasiriamali wadogo msitetereke

comrade igwe

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
7,295
3,939
Wana jamii amani kwenu.

Kutokana na serikali kuagiza fedha zote za taasisi kubwa zipitie na kuhifadhiwa benki kuu ,ni dhahiri mabenki yamekosa fedha nyingi za kujiendesha maana taasisi zote zimeelekeza fedha central bank, kabla ya hili mabenki yaliwatosa wananchi wajasiriamali wadogo na kuwekeza kufanya biashara na wakubwa kwa 80% kwa wadogo kwa kuweka riba kubwa ili wadogo wasithubutu kukopa, kitendo cha kusahau wadogo eti hawakopesheki kilizuia mzunguuko mkubwa wa fedha nchini na athari na ukweli umeanza kujitokeza kwa wananchi wengi, basi kwakua mirija wa mliowakopesha kwa riba kubwa imekatwa na inaendelea kukatwa na kupelekea kushindwa kurudisha mikopo hamna budi kurejea kwa wafanyabiashara ndogo walio wengi nchini ili wakopesheke kwa riba nafuu na kuondoa economic crisis kwa darubini tu na nitategemea economic boom mkifuata ushauri huu, otherwise banks bankruptcy ipo njiani soon
 
boss unazungumza kitaalamu au porojo, cost of fund za kukopesha zipo juu sana vipi wakopeshe kwa riba ndogo, kukopesha wateja hao wadogo wadogo is too risk so by financial principles risk premium lazima iwe part ya riba so haiwezi kushuka. Hapa no kwa bank na serikali kwa ujumla kushawishi jamii iwe na kasumba ya kusave ili pesa ya kukopesha ipatekana
 
Mkuu mabenki yanatoa mkopo kutokana na mfumuko wa bei, na risk ya kurudishwa kwa mkopo, so huwezi kuwapangia washushe kwa sababu eti nchi fulani wana fanya hivyo, cheki na mfumuko wao wa fedha na organization a uchumi wao ukoje kwanza
 
Kama unadhani kumkipesha mtanzania ni kazi ndogo jaribu kumkopa mtu mwenyr kazi ya kueleweka 300,000 uone kama atairudisha hata kama anayo atakuzunhusha tu...
 
Mkuu mabenki yanatoa mkopo kutokana na mfumuko wa bei, na risk ya kurudishwa kwa mkopo, so huwezi kuwapangia washushe kwa sababu eti nchi fulani wana fanya hivyo, cheki na mfumuko wao wa fedha na organization a uchumi wao ukoje kwanza

waweke basi hata riba 64% maana
unachotaka kusema sisi hapa mfumuko wa bei kwetu ni mkubwa sana kulinganisha na majirani zetu na risk ya kurudisha mkopo ni kibwa sana
hata na hivyo sect ya bank inachangia kidogo sana kwenye uchumi , kwa kuwa ni chini ya 20% ndo watumiaji wakubwa wa bank
 
Kama unadhani kumkipesha mtanzania ni kazi ndogo jaribu kumkopa mtu mwenyr kazi ya kueleweka 300,000 uone kama atairudisha hata kama anayo atakuzunhusha tu...

si kina qua lateral zinawekwa
unafananishaje mikop ya bank na ya kishkaji
 
waweke basi hata riba 64% maana
unachotaka kusema sisi hapa mfumuko wa bei kwetu ni mkubwa sana kulinganisha na majirani zetu na risk ya kurudisha mkopo ni kibwa sana
hata na hivyo sect ya bank inachangia kidogo sana kwenye uchumi , kwa kuwa ni chini ya 20% ndo watumiaji wakubwa wa bank
wao wana ngapi? hata hivyo Kenya uchumi wao na currency yao ni stronger na stable kuliko Tanzania
Na hapa kwetu watu wengi hawaweki hela benki, kwa hiyo bank deposits zinakuwa ndogo na hio ndio fedha wanaotumia kukopesha wateja, so bank deposit ikiwa ndogo riba inakuwa kubwa pia
 
Kenya mtu kudefault mkopo si kitu chepesi...yaan kule ile kitu inaitwa credit reference bureau iko strong mno...si kama huku kwetu mtu akidefault benk moja bado ana nafasi ya kwenda kukopa benk ingine. Jaribu kwa jiran uone walivoo na adabu ya kulipa mkopo....hapa kwetu mswahili mpe hela uone!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom