SUASO
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 770
- 1,188
- Thread starter
- #41
Naam, huu Ni mpango mzuri Sana, 2015 CCM waliweka base Yao kule masaki bao la mkono, chadema ofisi Yao ikavamiwa na kuporwa vifaa vyao,Ushauri mzuri,piakuna ushauri wa kigogo kashautoa!! Kabla ya kufika tar 28 inabidi makatibu na wenyeviti wa majimbo wa act/chadema wafatilie vituo hewa vyote! na pia lazima wawe na tallying center za kila kata-jimbo-mkoa(summation) ya mkoa ndio inaenda makao makuu ,hii itasaidia kujua jumla kuu ya vituo halali tu ,kisha mnafanya comparison ya kura na NEC katika ngazi ya jimbo ,zikienda tofauti tu na idadi halisi ,hapo inatakiwa ACT/Chadema waweke online matokeo yote nchi nzima ambayo ni halisi ,wakishaweka sisi tutajua cha kufanya!!
Kama NEC wakichakachua tunakinukisha kama GUINEA na NIGERIA.
Kwa Sasa wajipange Tena kwa intelejensia kubwa maana hivyo vituo vya kujumlishia vya upinzani polisi na kitengo watavivamia na kuharibu kila kitu!!
Bora waweke vituo vingi fake ili kupoteza maboya,
Kila kitu kiwekwe mitandaoni!
Japo huenda internet ikazimwa siku hizo