Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Solution ni kuacha mtu ndani ya gari.
Duuuhna ngono kwenye eneo la parking jamani!!! kuna watu wanapaki magari,hawatoki,gari zinatikisika tuuuu...
Solution ni kuacha mtu ndani ya gari.
Duuuhna ngono kwenye eneo la parking jamani!!! kuna watu wanapaki magari,hawatoki,gari zinatikisika tuuuu...
Hao walinzi nao ni choka mbaya. Wakati fulani mwaka jana waliwahi kugoma wakidai nyongeza ya mishahara, sidhani kama walipewa. nadhani ndio maana wameamua kushirikiana na wezi ili kujilipa kabisana wale walinzi huwa wanafanya kazi gani ??