Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,224
- 17,916
Hahaha watakuja kusema mpk mwezini tuwe tunaingia trh moja wooote.Na tutaelekezwa hadi siku ya kuvaa pichu na bra
Hahaha watakuja kusema mpk mwezini tuwe tunaingia trh moja wooote.Na tutaelekezwa hadi siku ya kuvaa pichu na bra
Na kila kitu kinawashinda wanatoa matamko tuHahaha watakuja kusema mpk mwezini tuwe tunaingia trh moja wooote.
Naona nchi hii soon itageuka kuwa Iraq au Somalia.Habari zinazoendelea kusambaa.
Kuna msako endelevu Wa mgambo Wa manispaa kupita katika maguest house hususani TEMEKE.
Mgambo hao wanapita hususani usiku wakikagua vyeti Vya ndoa endapo mtakutwa jinsia mbili tofauti, Kwa wale ambao hawajafunga ndoa unapaswa kuonyesha Barua ya mjumbe wako kuwa wewe ni Mme na Mke halali.
Pamoja na hayo Kwa wasafili unalazimika kuonesha tiketi yako na pindi unapokutwa huna vigezo hivo unalazimika kushitakiwa na manispa.
Matamko yao ya kukurupushwa usingizini ndio mana hayana mashiko.Na kila kitu kinawashinda wanatoa matamko tu
Hahahah wanasema ufanye na mumeo tuWaache upuuzi kila mtu na starehe yake
Hahahah wanasema ufanye na mumeo tu
Nipo hapa kimboka mbona siwaoni?
Hahahahaha hivi kutolala nyumbani ni kosa?Itakua kosa la kutolala nyumbani, (kama sio msafiri)
Mkuu naona kuna kila dalili ya kuturudisha miaka ya 70 kugegedana porini ambako hakuhitaji malipo wala ukaguzi.Eti nini???????kwaiyo dar ni marufuku kugegedanana kama hamjafunga ndoa??
Waache upuuzi kila mtu na starehe yake[/Q
TULIA TUSHAKUONA TUNAANDAA PINGUNipo hapa kimboka mbona siwaoni?
Usitupe siri yako kuwa huwa unagegeda week end mchanaUsiku mbona hawawapati, wazinzi wengi ni wanandoa na usiku wanakuwa makwao kama sio wao, wangefanya operesheni hii mchana tena siku za weekend