Tahadhari: Mbinu wanayotumia vibaka kufanya uhalifu kwenye sherehe, hasa harusi

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Kwenye Sherehe za harusi na mikusanyiko ya jamii, vibaka sasa wanakwenda kwa Mshehereshaji kutangaza matangazo kama vile "gari yenye usajili namba fulani imezuia njia"

Unapotoka kwenda nje ya gari lako unakuta watu wenye bunduki wakijua kuwa una funguo za gari, wanakuamrisha kuendesha gari nje ya eneo la kuegeshea wakiwa ndani ya gari pamoja na wewe.

Tafadhali fanya yafuatayo namba ya gari lako inapotajwa kwenye sherehe za kijamii.

1. Chukua muda kabla hujaenda nje
2. Usiende peke yako angalau watu wawili au zaidi
3. Usiende moja kwa moja mahali gari lako lilipo hakikisha kama kweli yupo mtu uliyemzuia
4. Angalia mazingira kwa makini kabla hujakaribia gari lako

Tafadhali nakili na changia na wengine hata kama huna gari,
Okoa watu wengi.
 
Kwenye Sherehe Za arusi na mikusanyiko ya jamii, vibaka sasa wanakwenda kwa Mshehereshaji kutangaza matangazo kama vile "gari yenye usajili namba fulani imezuia njia" Unapotoka kwenda nje ya gari lako unakuta watu wenye bunduki wakijua kuwa Una funguo za gari, wanakuamrisha kuendesha gari nje ya eneo la kuegeshea wakiwa ndani ya gari pamoja na wewe.
Tafadhali fanya yafuatayo namba ya gari lako inapotajwa kwenye sherehe za kijamii.
1. Chukua muda kabla hujaenda nje
2. Usiende peke yako angalau watu wawili au zaidi.
3. Usiende mojakwamoja mahali gari lako lilipo hakikisha kama kweli yupo mtu uliyemzuia.
4. Angalia mazingira kwa makini kabla hujakaribia gari lako.
Tafadhali nakili na changia na wengine hata kama huna gari,
Okoa watu wengi.
Duuh
 
Kwenye Sherehe Za harusi na mikusanyiko ya jamii, vibaka sasa wanakwenda kwa Mshehereshaji kutangaza matangazo kama vile "gari yenye usajili namba fulani imezuia njia"

Unapotoka kwenda nje ya gari lako unakuta watu wenye bunduki wakijua kuwa Una funguo za gari, wanakuamrisha kuendesha gari nje ya eneo la kuegeshea wakiwa ndani ya gari pamoja na wewe.

Tafadhali fanya yafuatayo namba ya gari lako inapotajwa kwenye sherehe za kijamii.

1. Chukua muda kabla hujaenda nje
2. Usiende peke yako angalau watu wawili au zaidi.
3. Usiende moja kwa moja mahali gari lako lilipo hakikisha kama kweli yupo mtu uliyemzuia.
4. Angalia mazingira kwa makini kabla hujakaribia gari lako.

Tafadhali nakili na changia na wengine hata kama huna gari,
Okoa watu wengi.

Asante kwa Ujumbe.
 
Kwenye Sherehe Za arusi na mikusanyiko ya jamii, vibaka sasa wanakwenda kwa Mshehereshaji kutangaza matangazo kama vile "gari yenye usajili namba fulani imezuia njia" Unapotoka kwenda nje ya gari lako unakuta watu wenye bunduki wakijua kuwa Una funguo za gari, wanakuamrisha kuendesha gari nje ya eneo la kuegeshea wakiwa ndani ya gari pamoja na wewe.
Tafadhali fanya yafuatayo namba ya gari lako inapotajwa kwenye sherehe za kijamii.
1. Chukua muda kabla hujaenda nje
2. Usiende peke yako angalau watu wawili au zaidi.
3. Usiende mojakwamoja mahali gari lako lilipo hakikisha kama kweli yupo mtu uliyemzuia.
4. Angalia mazingira kwa makini kabla hujakaribia gari lako.
Tafadhali nakili na changia na wengine hata kama huna gari,
Okoa watu wengi.
Asante sana Mkuu, kwa kweli wengi huwa wanaona ujiiko tangazo hilo linapotokea, wanatoka huku wamening'iniza funguo kuonyesha kwamba tangazo lilimhusu yeye!!
 
Asante sana Mkuu, kwa kweli wengi huwa wanaona ujiiko tangazo hilo linapotokea, wanatoka huku wamening'iniza funguo kuonyesha kwamba tangazo lilimhusu yeye!!
Hao ndio wanaibiwa kiulaini sasa
 
Hizi tahadhari mbona zimekuwa nyingi sana? Ni kweli uhalifu uneongezeka kiasi hiki?!
 
Kwenye sherehe Za harusi na mikusanyiko ya jamii, vibaka sasa wanakwenda kwa Mshehereshaji kutangaza matangazo kama vile "gari yenye usajili namba fulani imezuia njia" Unapotoka kwenda nje ya gari lako unakuta watu wenye bunduki wakijua kuwa Una funguo za gari, wanakuamrisha kuendesha gari nje ya eneo la kuegeshea wakiwa ndani ya gari pamoja na wewe.

Tafadhali fanya yafuatayo namba ya gari lako inapotajwa kwenye sherehe za kijamii.
1. Chukua muda kabla hujaenda nje
2. Usiende peke yako angalau watu wawili au zaidi.
3. Usiende mojakwamoja mahali gari lako lilipo hakikisha kama kweli yupo mtu uliyemzuia.
4. Angalia mazingira kwa makini kabla hujakaribia gari lako.

Tafadhali nakili na changia na wengine hata kama huna gari,
Okoa watu wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom