kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Nashukuru sana serikali kwa kuamua kuwakabidhi JWTZ wakawashughulikie Majangiri, dawa yao imepatikana. Askari wanyama pori na maofisa wao, walikuwa wanakula dili na hawa majangili,tunayajua hayo.
Wakitaka hata meno ya Tembo, kwanza wanawatafuta hawa wahusika, wanawahonga then wanaingia mbugani na wanapewa hadi uelekeo upi waende kufanya huo ufirauni wao, wale waliongia bila kuwahonga, ndio huwa mnajidai mnawasaka, kwendeni huko, ndio maana mmetajirika na kuwekeza mali za mamilioni huku mijini.
Sasa Wa Jeda JWTZ hawahongeki kizembe, mkijipendekeza tu mmekwisha, watawafanya bucha nawambia, mmetumalizia wanyama wetu, inasikitisha mlimuua hadi faru anayejulikana dunia nzima na alipelekwa Sauzi akakulie huko, amerudi mmemuuwa pamoja na kufungiwa kifaa cha GPS.
Wakitaka hata meno ya Tembo, kwanza wanawatafuta hawa wahusika, wanawahonga then wanaingia mbugani na wanapewa hadi uelekeo upi waende kufanya huo ufirauni wao, wale waliongia bila kuwahonga, ndio huwa mnajidai mnawasaka, kwendeni huko, ndio maana mmetajirika na kuwekeza mali za mamilioni huku mijini.
Sasa Wa Jeda JWTZ hawahongeki kizembe, mkijipendekeza tu mmekwisha, watawafanya bucha nawambia, mmetumalizia wanyama wetu, inasikitisha mlimuua hadi faru anayejulikana dunia nzima na alipelekwa Sauzi akakulie huko, amerudi mmemuuwa pamoja na kufungiwa kifaa cha GPS.