chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,490
- 2,574
itakua moja ya ndugu zako wapo kitengo Mana sio kwa povu hiloWe jamaa unajulikana ni polisi tena usiye na elimu nzuri hakuna taifa lisilo na ushushu bila hao taifa lingekuwa la mahasi kila siku na sidhani kama hata ww ungekuwa upo bado mtaani na vigwanda vyako vya kaki na Hv mnavyo penda rushwa mnauzana mpaka wenyewe kwa wenyewe hujiulizi kwa nn kibiti walikuwa wanakufa polisi tu kwa sababu huko kuna uozo mwingi wa kutumia katiba vibaya kwa kuwasingizia watu kesi mpaka wanabaki na visasi japo kuwa wapo polisi wazuri ila wa chache sana mm ukiniambiaa nichukue polisi na uwt nita chagua uwt coz wa nani dhamu ukizingua hawakuachi hata kama ni wakwao alafu jidanganye kusema uwt ni maraia kumbe ujui wapo mabosi wako,kuanzia igp,cdf,mpaka watembeza karanga mpaka mkeo,baba yako,mama yako,house girl wako sasa we jichanganye alafu uone u constable wako kama utakuokoa hata marekani ipo pale coz ya taa sisi mbili muhimu CIA na us army.si polisi department baadae sana tena baada ya kuona mapungufu ya polisi waka anzisha FBI,