Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Picha hizi zinaangaliwa na watu dunia nzima pia zinatisha kama una roho ndogo usiangalie.......hivi ni lini mauaji ya kulipizana visasi mkoa wa Mara yataisha, hivi selikali imeshindwa kabisa kutafuta suluhisho la mgogoro huu kwenye nchi wanaoiita kisiwa cha amani?..selikali yenye responsibility ya kulinda wananchi wake imefanya kazi gani hapa?...je, tufanyaje ili kuilazimu selikali kuwajibika kwa hili..nani tumwajibishe kwa kushindwa kazi? au tuishitaki selikali yenyewe...jamani jamani hii ni tz ati....
Last edited by a moderator: