TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

Duh ni kuna ukweli hizi juice zina matatizo makubwa mwanzo nilidhani Kenya wamezipiga marufuku kwasababu za kibiashara kumbe chemical ambazo hazifahi kwa matumizi ya bianadamu zimejazwa ndani ya juice ili kupunguza gharama za uzalishaji.

Nilikuwa nanunua box moja kwa ajili ya mtoto mdogo wa baby class akawa anasumbuliwa na tezi na kukohoa mara kwa mara na vidonda vya ulimi,nikampeleka kwa Dr Kavavilla bingwa wa watoto (Pediatrician) baada ya uchunguzi wa muda mrefu akanishauri niache kumpa mtoto juice za viwandani nilipoacha huu ni mwezi wa pili / tatu tatizo limekwisha kabisa.

Nawashauri watumiaji wa juice za azam wanunue matunda masokoni na kutengeneza juice wenyewe.Nawashauri pia Azam waangalie aina ya wataalam walionao na pengine wakiweza watafute wataalamu wengine ili kuepuka kupoteza soko la bidhaa zao ndani na nje ya nchi.
 
watu wengine ubongo wao umeoza kwa udini, yaani mtu analalamika katoa pesa yake kanywa uchafu, mwingine anakuja kuleta sababu za udini,mijitu mingine bwana sijui ina kuwaga vipi?hii ndiyo kila watoto wao wakifeli shule inasema wameonewa ata kama watoto hamna kitu kichwani

kwa hiyo mshikaji anataka tununue sumu na maradhi kwa pesa zetu wenyewe kisa jamaa mzalishaji ni wa dini yetu????
Kweli hamna umasikini wa fikra kama huu
 
Aise bac azam kuna tatizo hapa mtoni mtongani kuna mtoto wa shule ya msingi kama miaka 6hv amefariki kwa kunywa juice ya azama zile nyeusi ndani,alilia asubuhi akapewa hela kaenda nunua, gafla akaanza kulia tukaona ni tatizo kufika muhimbili akawa hoisana akafariki,tukarudi nyumbani tukachukua juice walivyoipima wakasema ina kemikali hatari kwa afya,ndio imemuua,nikasema nitakwepa bidhaa zote za azam,c juice wala maji ctaki tena,KUWENI MAKINI.

Hii nihatari sana kwa afya za watu. Kama TBS wanapita huku wachukue hatua haraka.

Ni hili jambo ni kama mzaha lakini litatuharibia sana soko la bidhaa zetu kutoka Tanzania. Maana hawatatuamnini kabisa.
 
Duh ni kuna ukweli hizi juice zina matatizo makubwa mwanzo nilidhani Kenya wamezipiga marufuku kwasababu za kibiashara kumbe chemical ambazo hazifahi kwa matumizi ya bianadamu zimejazwa ndani ya juice ili kupunguza gharama za uzalishaji.

Nilikuwa nanunua box moja kwa ajili ya mtoto mdogo wa baby class akawa anasumbuliwa na tezi na kukohoa mara kwa mara na vidonda vya ulimi,nikampeleka kwa Dr Kavavilla bingwa wa watoto (Pediatrician) baada ya uchunguzi wa muda mrefu akanishauri niache kumpa mtoto juice za viwandani nilipoacha huu ni mwezi wa pili / tatu tatizo limekwisha kabisa.

Nawashauri watumiaji wa juice za azam wanunue matunda masokoni na kutengeneza juice wenyewe.Nawashauri pia Azam waangalie aina ya wataalam walionao na pengine wakiweza watafute wataalamu wengine ili kuepuka kupoteza soko la bidhaa zao ndani na nje ya nchi.

Yaani Ngongo na mimi ilitokea exactly kwa mwanangu tulipoziacha hizi juice za viwandani akapona.
 
Duh ni kuna ukweli hizi juice zina matatizo makubwa mwanzo nilidhani Kenya wamezipiga marufuku kwasababu za kibiashara kumbe chemical ambazo hazifahi kwa matumizi ya bianadamu zimejazwa ndani ya juice ili kupunguza gharama za uzalishaji.

Nilikuwa nanunua box moja kwa ajili ya mtoto mdogo wa baby class akawa anasumbuliwa na tezi na kukohoa mara kwa mara na vidonda vya ulimi,nikampeleka kwa Dr Kavavilla bingwa wa watoto (Pediatrician) baada ya uchunguzi wa muda mrefu akanishauri niache kumpa mtoto juice za viwandani nilipoacha huu ni mwezi wa pili / tatu tatizo limekwisha kabisa.

Nawashauri watumiaji wa juice za azam wanunue matunda masokoni na kutengeneza juice wenyewe.Nawashauri pia Azam waangalie aina ya wataalam walionao na pengine wakiweza watafute wataalamu wengine ili kuepuka kupoteza soko la bidhaa zao ndani na nje ya nchi.

Kha, ebu ngoja kwanza..maana kuna kipindi wanangu walikuwa wakikohoa saana, kipindi hicho nilipenda kuwabebea hizi bidhaa kila siku...huenda sababu ikawa hihihii, wabheja ngosha ng'wanangongo!
 
nilishazipiga marufuku ndani kwangu. housegirl alikuwa anampa mtoto wangu, aliugua majipu mwanangu, sijui ilikuwa kemikali gani ile, vile vijoti....azam wengi wanamlalamikia, hata zile azam cola, zina tatizo....zile azam cola amini usiamini ukitaka kusugulia eneo kama sabuni linatakata, utumbo je?....kizazi hiiki kuna miaka kama 20 ijayo kitakuwa kizazi cha kansa.
 
Inaingiaje shekhe wangu hapo ukafir tena? Au maji na juice za azam ni za msikiti?
Hoja hapa ni ubora na usalama wa bidhaa tuache udini mkuu.



Jamani, TFDA hawatafidia familia yako pale utakapokufa kwa ajili ya taka za aZAM.

Na kama kweli zinatengenezwa na maji ya msikitini, sasa jamani hapo ndipo penye mambo. Acheni kabisa kutumia vinywaji vya azam. Maji y a misikitini yana hadithi nyingi sana.

Usikute nazo ni za ibada kama damu. Jamani tuleni matunda ama juice yako nyumbani.

Anayekuita kafir kwa ibada yake usimjali. Huwezi kujua, yawezekana hata kutukana ama ku insult watu ni ibada. Duniani hapa dini na miungu ni mingi.

TUNZA AFYA YAKO NA NDUGU ZAKO NA WATU WAKO WA KARIBU. ANAYEBISHA MWACHE AENDELEE NA HAYO YA MISIKITINI. YATAKAYOMKUTA ATAJUA YEYE.
 
apo dawa ni kumimina yote kwenye karatasi white then anza kupiga mafunda yako kama kawa.
 
Mkuu mimi ni moja ya watu tulioshangilia ujio wa hizi juice ili tuache kutumia za nje lakini kweli umakini wao umepungua nadhani hii ni changamoto tu kuboresha hii kitu yetu wenyewe!!
Umakini upo kwenye kujenga uwanja wa michezo na kuwekeza kwenye soka.
 
Huwa inanishangaza sana kwa wingi wa juice zinazozalishwa sio kwa Azam pekee je viwanda vyote wanatumia matunda halisi, au wana mix maji na ladha pekee na kutudanganya kuwa ni juice ya matunda halisi???
 
Pole saana mdau,ila wapendwa tusipende saana hivi vitu vya viwandani ,,,,tujaribu kutumia matunda kutengeneza wenyewe ndo safe zaidi,,mungu akuponye
 
bado unanunua juice kibandani? brender linauzwa chini ya laki....gharama za kutibu maradhi ni zaidi ya laki mbili sasa nini wafanya weye
 
mkuu.nunua breder nunua matunda utengeneze juic yako nyumbani kwa kutumia matunda ya asili yamejaa kila kona.mtaendelea kunywa sumu hadi lini?

matunda na brenda n v2 expensve kk na istoshe wengne hawana umeme makwao
 
Habari Watanzania na Wasio Watanzania,

Jana nilinunua juice ya Azam ya "tropical mix" ya TZS. 2500,
Nilipofika home nikamimina kwenye glass ili ninywe, nikapiga funda la kwanza nikastuka kidogo, nikapiga la pili nikakutana na radha ambayo ni ya ajabu ajabu sana yani kama uozo ulochanganyika na mafuta ya taa, nikataka nimrudishie mwenye duka ila nikaona niachane naye, nikaenda kuitupa niki-assume labda mwenye duka aliiangushia mafuta ya taa.

Leo tena nikaamua kununua juice ya AZAM sehemu ya mbali kabisa na niliponunulia jana, this time nikanunua juice aina ya "APPLE", basi mida ya usiku hivi baada ya msoc nikaamua nichukue glass moja niipige, nimefika nusu kabla haijaisha nikaiwa nimeiweka ile glass kwenye meza ambapo inapigwa na mwanga direct ndani, OMG... nimeona mauchafu uchafu kibao aisee kwenye glass, nikaanza kujiuliza au glass ni chafu??? Ikabidi nichukue glass kubwa halafu nimimine ile ile iliyopo kwenye box niione nayo, daaaaaaahhhh, aisee ni mauchafu kibao yan.

Hapa nilipo hadi nahisi nishaanza kuumwa, nimeamua kuiweka hapa ili iwe ushahidi nikiumwa walau nikashtaki. (Mungu Aniponye kwa kweli).

Nawashauri wapenzi wa hizi juice kabla hujaibugia uwe unapenda kuangalia ikoje kwanza maana waweza dhurika kwa kweli.

N.B

Sijaweka bandiko hili ili kuvuruga biashara ya AZAM, nop, ninawatahadharisha wenzangu na nilichokiandika ni ukweli mtupu.

juu ya hili hapana mtu anaepaswa laumiwa zaidi ya T.B.S
 
Nyie ndo mafala. Watu haalali wakiimalisha biashara zao wewe uko mtandaoni kumdiscourage. Huna tofauti na aloandaa mkanda wa rwakatale

Strange logic this! Ina maana mteja hana haki ya kupewa bidhaa bora na salama? Unadhani Azam wao hawawezi kufanya makosa wakati wa uzalishaji na hivyo kusababisha madhara kwa watumiaji wake?

Hebu angalia baadhi ya mifano ya complaints against giant companies (ambazo Azam hawafiki hata 0.1% ya sales zao) kuhusu bidhaa zao.

West Sac Man Files Suit Against Subway for Short Sandwich | KTXL FOX40

Lawsuits Against Toyota | Nolo.com

McDonald's legal cases - Wikipedia, the free encyclopedia
 
This is sensitive issue. Naogopa baadhi yetu tusidandie basi la watu wenye ajenda yao ya siri dhidi ya Azam or Bahhresa. Kama ni kweli basi tuwaachie TFDA wafanye kazi yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom