Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,959
- 3,986
Huwezi kumdhibiti mwanamke ambaye ni mkeo asikuwekee kitu chochote kwenye chakula ,akiamua anaweka hata kama uko naye hapo,zaidi ni kumuomba Mungu tu amuepushe na hayo mawazo ya kichawi,na sisi wanaume tuwapende wake zetu hata kinafiki itasaidia