XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,956
Otea ..Neno mkuu lina maana gani siku hizi?
Otea ..Neno mkuu lina maana gani siku hizi?
Pole Mkuu Naona Kuna mdada alikupiga na kitu kizito kichwani.hakikisha humpi salamu mwanamke au mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo kama huna gari;
.asiye msomi, mwenye muonekano usio wa kisomi (wasomi wanaonekana, nimeeleweka)
.asiye na sura ya kuvutia, mweusi!!!
.anaeonekana mwongeaji sana (hata kama yuko mwenyewe nahisi anaonekana tu)
.ambae kama umemface akikukaribia anaonesha dalili ya kupita kando na wewe
.ambae akikukarbia anavuta mdomo, hata kama hamfahamiani
.kasuka nywele nyingine zina hang kufunika jicho moja
.anaemiliki simu kali zaidi eg iphone na anatembea kaishikilia mkononi
.kabla hajakupita anatizama kando...
Madada ya hivyo hayaitikiagi salamu, utakuja kunambia!! labda yaishie kukutukana tu!!
siwapendi wadada we acha tu!!
Sorry, hizi zilikuwa ni hasira!!! Sometimes wanaboa bhana!! Nimeamua niwasamehe!!hakikisha humpi salamu mwanamke au mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo kama huna gari;
.asiye msomi, mwenye muonekano usio wa kisomi (wasomi wanaonekana, nimeeleweka)
.asiye na sura ya kuvutia, mweusi!!!
.anaeonekana mwongeaji sana (hata kama yuko mwenyewe nahisi anaonekana tu)
.ambae kama umemface akikukaribia anaonesha dalili ya kupita kando na wewe
.ambae akikukarbia anavuta mdomo, hata kama hamfahamiani
.kasuka nywele nyingine zina hang kufunika jicho moja
.anaemiliki simu kali zaidi eg iphone na anatembea kaishikilia mkononi
.kabla hajakupita anatizama kando...
Madada ya hivyo hayaitikiagi salamu, utakuja kunambia!! labda yaishie kukutukana tu!!
siwapendi wadada we acha tu!!
Baharia vipi, umekutwa na janga Gani🤔.Mwanaume unajiita honey bee? One man Down, i repeat, one man down, we need a rescue team! may day, may day
Mwanaume unajiita honey bee? One man Down, i repeat, one man down, we need a rescue team! may day, may day
Mkuu wewe ni dada.!??
Mwanaume unajiita honey bee? One man Down, i repeat, one man down, we need a rescue team! may day, may day
HahahahahaMwanaume unajiita honey bee? One man Down, i repeat, one man down, we need a rescue team! may day, may day
Halafu ana hasira na wanawake kinomahili ni li gay
Nah this one doesnt need rescue. Tell QRF to hold the position. He will make it on his ownCopy that Alpha, rescue team on their way. Over
Lijali=RijaliUshauri batili huu.
Haupaswi kuchukua na mwanaume yeyote lijali.
Hamna mwanaume yeyote duniani anaweza jiita HONEY BEE