Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,207
- 5,990
Sawa sawa hata wenzio walikuwa kama wewe leo hii imebaki historia.Barakoa si dawa ya Corona. Tumeishi kwa zaidi ya miezi 10 bila hizo barakoa na Mungu yupo pamoja nasi.
Corona haitibiki kwa kuvaa barakoa.