MGODOLO
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 209
- 172
- Thread starter
- #21
We acha ndugu yangu... Jamaa aliona ni fursa, afu hawa watu hua hawataki hela kubwa... Vidogovidogo tu... Anaweza akakwambia, barua ya maombi ya kazi niachie mimi na za wazamini niachie mimi... Baadae utasikia wazamini wanataka chochote... DaaaaahhhNa ww alikugeuza kuwa fursa????