Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ntakamilika tu
mda ndio huu mkuu wa kufanya mambo!
Acha upambe wewe.
Unataka aoe kwani umemtafutia mke?
Mkewe niko hapa.
W/end hii nnajisikia kupiga watu walau 20 ban ha ha ha,,, wacha nianze kupasha...
:fencing:
tumekusoma mkuu, tena kuna wimbi la watu wameibuka kwa lengo la kuhakikisha wanaharibu hali ya hewa humu na baadae kujisifia kuwa wao ni kiboko ya wana chit chat, mfano ni ndugu c.t.u na kuna mwingine nimemuona leo anajiita @antchitchat, nimekuwa na wasiwasi nae pia, tunashukuru kwa mwongozo wako mkuu na kutukumbusha maana uwepo wa hili jukwaa kwa wale tuliokuwa tunalifikiria ndivyo sivyo.
Invisible hapa umeongea yanayonikera na ambayo yalinifanya nikae nje ya jukwaa kwa muda sasa!
Nimepata matumaini ya jukwaa letu hope litarudi kuwa Stress Free zone!
Big up sana!