Nimesikia kuna Clip inazunguka kwenye mitandao kwamba; Kuna aina mpya ya uporaji Kwa madreva wenye magari madogo wakiwa kwenye foleni au taa!
Mashuhuda wanasimulia kwamba Mwizi anapokuona umeshusha vioo, ukiwa peke ako kwenye foleni au taa (makutano junction)!
Anakuvizia Kama wapitavyo Machinga anajibana kama vile mshikaji huku mikono yake ikiwa ndani tayali anaanza kukutomasa Kwa kisu kikali sana huku akikuomba utoe Pesa zote umpe!
Inadaiwa style ya vibaka hao wanayotumia haiwezi kushitukiwa kirahisi na watu wanaokuzunguka kwasababu anakuja kama mshikaji, na akimaliza kukupora anakwambia "Siku ingine kwenye foleni au taa usiache kioo wazi"
Halafu anapokuaga anakuambia "NITAKUPIGIA TUONGEE VIZURI"
Ili kuwahadaa wanaokuzunguka waone kama no mtu na mshikaji wake!
Wanaume Kwa wanawake wengi wanasimulia kuporwa Kwa style hiyo mpya!
Mmoja anasadikiwa kuwepo maeneo ya taa za mnazi mmoja na pale BigBon
Hawajabahatika kupata PICHA yake lakini inadaiwa ni lijitu jeusi lenye sura ya kikauzu!
WITO;
NAMNA YA KUMKATA MTU HUYO
Wanaume Wa Dar; kama mkeo anafaham kuendesha mkabidhi aendeshe, halafu wewe jilaze siti ya nyuma kwenye foleni au taa mwambie mkeo ashushe vioo vya mbele tena kama ikiwezekana mwambie azuge kujipodoa na lips stick ili mwizi asogee, halafu ukisikia mazungumzo toka na panga Kwa mlango Wa nyuma usiulize na umuarest haraka iwekezekanavyo!
Mimi binafsi nimeaza operesheni hii tangu Jana sisubiri hadi Polisi waseme! Nitawapa mrejesho!
Mashuhuda wanasimulia kwamba Mwizi anapokuona umeshusha vioo, ukiwa peke ako kwenye foleni au taa (makutano junction)!
Anakuvizia Kama wapitavyo Machinga anajibana kama vile mshikaji huku mikono yake ikiwa ndani tayali anaanza kukutomasa Kwa kisu kikali sana huku akikuomba utoe Pesa zote umpe!
Inadaiwa style ya vibaka hao wanayotumia haiwezi kushitukiwa kirahisi na watu wanaokuzunguka kwasababu anakuja kama mshikaji, na akimaliza kukupora anakwambia "Siku ingine kwenye foleni au taa usiache kioo wazi"
Halafu anapokuaga anakuambia "NITAKUPIGIA TUONGEE VIZURI"
Ili kuwahadaa wanaokuzunguka waone kama no mtu na mshikaji wake!
Wanaume Kwa wanawake wengi wanasimulia kuporwa Kwa style hiyo mpya!
Mmoja anasadikiwa kuwepo maeneo ya taa za mnazi mmoja na pale BigBon
Hawajabahatika kupata PICHA yake lakini inadaiwa ni lijitu jeusi lenye sura ya kikauzu!
WITO;
- Polisi hususani Trafiki wanaongoza magari wasiruhusu wafanya biashara (machinga & ombaomba) kutembea kwenye foleni au taa
- Madreva wachukue tahadhari wapandishe vioo hasa wakiona wapo wenyewe.
- Ile sheria ya faini ya laki mbili Kwa mtu anaempa pesa ombaomba kwenye foleni iongezewe nguvu
NAMNA YA KUMKATA MTU HUYO
Wanaume Wa Dar; kama mkeo anafaham kuendesha mkabidhi aendeshe, halafu wewe jilaze siti ya nyuma kwenye foleni au taa mwambie mkeo ashushe vioo vya mbele tena kama ikiwezekana mwambie azuge kujipodoa na lips stick ili mwizi asogee, halafu ukisikia mazungumzo toka na panga Kwa mlango Wa nyuma usiulize na umuarest haraka iwekezekanavyo!
Mimi binafsi nimeaza operesheni hii tangu Jana sisubiri hadi Polisi waseme! Nitawapa mrejesho!