Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Kuna jambo moja wengi wenu hamjaliweka akili au pengine kuliwazia.
Kwamba kama vyama vyenu vitalisimamia kwa nguvu zote suala la Tumehuru ya uchaguzi basi uchaguzi huu wa 2020 mnaenda kuunda serikali kwa Chadema huku bara na ACT kule Zanzibar.
Kwamba hatuwachagui kwa wingi ili muende ubungeni kufanya ujinga kama uliokuwa unafanywa na CCM kushangilia kila kiletwacho na serikali yao na kuunga mkono hata upuuzi.
Tutahakikisha sheria inabadilishwa ili wabunge wasiwe mawaziri kama ilivyo Kenya hivyo hakuna kujipendekeza ili kuteuliwa kuwa waziri. Hata ile katiba ya Warioba iliyo sema mbunge anaweza kuondolewa na wananchi wake kama yupoyupo tuu kama walivyo wabunge wengi wa sasa wa CCM.
Je kabla ya kuchukua fomu mmejiuliza hayo mtayaweza? Ujinga wa kuunga mkono kila jambo la serikali ya Chadema na ACT hamta kubaliana nao? Maana kama huwezi bora usichukue fomu kabisa, hatutaki akili za kiccm kabisa 2020-2025 maana ndio zimetufikisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kama vyama vyenu vitalisimamia kwa nguvu zote suala la Tumehuru ya uchaguzi basi uchaguzi huu wa 2020 mnaenda kuunda serikali kwa Chadema huku bara na ACT kule Zanzibar.
Kwamba hatuwachagui kwa wingi ili muende ubungeni kufanya ujinga kama uliokuwa unafanywa na CCM kushangilia kila kiletwacho na serikali yao na kuunga mkono hata upuuzi.
Tutahakikisha sheria inabadilishwa ili wabunge wasiwe mawaziri kama ilivyo Kenya hivyo hakuna kujipendekeza ili kuteuliwa kuwa waziri. Hata ile katiba ya Warioba iliyo sema mbunge anaweza kuondolewa na wananchi wake kama yupoyupo tuu kama walivyo wabunge wengi wa sasa wa CCM.
Je kabla ya kuchukua fomu mmejiuliza hayo mtayaweza? Ujinga wa kuunga mkono kila jambo la serikali ya Chadema na ACT hamta kubaliana nao? Maana kama huwezi bora usichukue fomu kabisa, hatutaki akili za kiccm kabisa 2020-2025 maana ndio zimetufikisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app