mihadarati
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 268
- 74
Mwishoni mwa Juma hili nilikuwa nimetinga katika Mji wa moshi ambao ni mji unaosifiwa kwa usafi na kweli japo ni mdogo lakini unavutia kwa usafi wake.
Kabla ya kwenda nyumbani niliposhukia nilikuwa na mihadi ya kukutana ba rafiki yangu ambaye tunafanya nae kazi pamoja lakini yeye akiwa makao makuu jijini dar.
Nikiwa katika kituo kikubwa cha mabasi nilisikia kelele na mimi nilijongea eneo nililokuwa kutaka kujua ni nin!.
Kwa kweli alikuwa ni msichana ambaye alikuwa amevalia mavazi ambayo wananchi walidai alikuwa nusu uchi.
Umati mkubwa wa watu na vijana walikuwa wakipiga miluzi ambapi wengine tayari walianza kumshika2 dada wa watu na kutaka kumchania mavazi yake ili abaki uchi.
Dada huyo alipkolewa ba askari wa kike na kupelekwa kituo cha polisi.
Tahadhari kwa hali ilivyo Moshi wasichana mbaokuja kwenye sikuu hizi na siku nyingine angalieni mavazi ya kuja nayo cyo mnavaa kama mnaenda night club yatakumba yaliyomkumba mwenzenu.
Kabla ya kwenda nyumbani niliposhukia nilikuwa na mihadi ya kukutana ba rafiki yangu ambaye tunafanya nae kazi pamoja lakini yeye akiwa makao makuu jijini dar.
Nikiwa katika kituo kikubwa cha mabasi nilisikia kelele na mimi nilijongea eneo nililokuwa kutaka kujua ni nin!.
Kwa kweli alikuwa ni msichana ambaye alikuwa amevalia mavazi ambayo wananchi walidai alikuwa nusu uchi.
Umati mkubwa wa watu na vijana walikuwa wakipiga miluzi ambapi wengine tayari walianza kumshika2 dada wa watu na kutaka kumchania mavazi yake ili abaki uchi.
Dada huyo alipkolewa ba askari wa kike na kupelekwa kituo cha polisi.
Tahadhari kwa hali ilivyo Moshi wasichana mbaokuja kwenye sikuu hizi na siku nyingine angalieni mavazi ya kuja nayo cyo mnavaa kama mnaenda night club yatakumba yaliyomkumba mwenzenu.