MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
Nasikia UKAWA eti wanataka kususa ili kuishinikiza serikali ya Rais Magufuli iwaite Ikulu kwenda kunywa juice ya bure.
Nadhani mpaka sasa hawafahamu kuwa serikali ya Rais Magufuli ni HapaKaziTu.
Serikali ya Rais Magufuli kwa sasa inabana matumizi na haina juice ya bure kwa viongozi wa UKAWA. Pesa za juice kwa sasa zinaelekezwa kwenye huduma za kijamii kama hospital na shule. Wananchi wamechoka na vikao vinavyoambatana na urasimu.
Rais Kikwete aliwalea sana UKAWA kiasi kwamba, kila wakifika Ikulu walikuwa wanaomba kwanza wapewe juice kabla ya mazungumzo hayajaanza.
Serikali ya Rais Magufuli haina muda wa vikao na majungu ya kisiasa. Serikali ya Rais Magufuli ina muda wa kuonana na wananchi wenye matatizo na siyo kuonana na viongozi kama wa UKAWA ambao wametawaliwa na fikra za kibinafsi na biashara ya kisiasa.
Matatizo ya Zanzibar yanatatuliwa Kizanzibari. Matatizo ya Zanzibar hayawezi kutatuliwa Kitanzania. Wanzanzibari walishasema, Zanzibar ni nchi na ina mipaka yake, Rais wake, Bunge lake na Mahakama yake.
Wewe mtu wa Tanganyika ambaye huruhusiwi hata kununua ardhi nchini Zanzibar, why are you poking your black nose into Zanzibar affairs?.
Wewe Mbatia ambaye hata NCCR-Mageuzi kwa sasa imekushinda, utayaweza ya Zanzibar?
Wewe Mbowe ambaye umeuza CHADEMA, utaweza kuwauza Wazanzibari?
Wewe Lowassa ambaye juzi umegaragazwa na Dk. Magufuli , utaweza kupata pumzi ya mapambano mengine nchini Zanzibar?
You guys, Mind your own damn political business!
Wazanzibari wanajuana kwa viremba...
Wazanzibari walishatoa tamko lao na walisema hivi,
Nadhani mpaka sasa hawafahamu kuwa serikali ya Rais Magufuli ni HapaKaziTu.
Serikali ya Rais Magufuli kwa sasa inabana matumizi na haina juice ya bure kwa viongozi wa UKAWA. Pesa za juice kwa sasa zinaelekezwa kwenye huduma za kijamii kama hospital na shule. Wananchi wamechoka na vikao vinavyoambatana na urasimu.
Rais Kikwete aliwalea sana UKAWA kiasi kwamba, kila wakifika Ikulu walikuwa wanaomba kwanza wapewe juice kabla ya mazungumzo hayajaanza.
Serikali ya Rais Magufuli haina muda wa vikao na majungu ya kisiasa. Serikali ya Rais Magufuli ina muda wa kuonana na wananchi wenye matatizo na siyo kuonana na viongozi kama wa UKAWA ambao wametawaliwa na fikra za kibinafsi na biashara ya kisiasa.
Matatizo ya Zanzibar yanatatuliwa Kizanzibari. Matatizo ya Zanzibar hayawezi kutatuliwa Kitanzania. Wanzanzibari walishasema, Zanzibar ni nchi na ina mipaka yake, Rais wake, Bunge lake na Mahakama yake.
Wewe mtu wa Tanganyika ambaye huruhusiwi hata kununua ardhi nchini Zanzibar, why are you poking your black nose into Zanzibar affairs?.
Wewe Mbatia ambaye hata NCCR-Mageuzi kwa sasa imekushinda, utayaweza ya Zanzibar?
Wewe Mbowe ambaye umeuza CHADEMA, utaweza kuwauza Wazanzibari?
Wewe Lowassa ambaye juzi umegaragazwa na Dk. Magufuli , utaweza kupata pumzi ya mapambano mengine nchini Zanzibar?
You guys, Mind your own damn political business!
Wazanzibari wanajuana kwa viremba...
Wazanzibari walishatoa tamko lao na walisema hivi,
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Othman alisema marekebisho 10 katika katiba ya Zanzibar yalifanywa baada ya hoja nyingi zisizojibika katika katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyokuwa ikieleza Zanzibar ni sehemu ya Muungano.
Mheshimiwa Naibu Spika kuna mambo yalikuwa hayana majibu kama hili la Zanzibar kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano,watu walikuwa wakijiuliza ni kama nini Mkoa? Shehia? Kata? au Kijiji?, haya hayakuwa na jibu katika Katiba ya muungano?kwa sababu hiyo ndipo Wazanzibari wakafanya marekebisho sioni kama ni tatizo? Alisema Mwanasheria Mkuu.
Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 katika marekebisho ya 10 ya mwaka 2010, sehemu ya kwanza inatamka kuwa Zanzibar ni miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. ?Sasa kuja kwa haya yametuonesha kwamba kuna wenzetu kumbe wana fikra kwamba Zanzibar iliwahi kutawaliwa, maana mtu anaposema marekebisho ya 10 ya Zanzibar yamjitangazia uhuru maana yake ana fikra na huyu ni mwanasheria mtu kafika mpaka kuwa Mbunge anayeaminika na chama chake, lakini anasema kwa kufanya hivyo Zanzibar imejitangazia kuwa huru kwani tuliwahi kutawaliwa Aliuliza Mwanasheria Mkuu.
Akisoma hotuba ya kambi ya upinzani Bungeni katika bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais(Muungano), Waziri Kivuli wa Wizara hiyo, Tundu Lissu alisema Katiba ya Zanzibar inakiuka makubaliano ya Muungano kwa kujitangazia nchi huru kupitia marekebisho ya 10 katiba.