Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,736
- 155,418
CCM Chama cha MashetaniNawatahadharisha tu, mateso wanayoyapitia watu wa Mungu, kuonewa, kupigwa, kudhulumiwa...mnadhani Mungu amelala na hayaoni mateso wanayopata watu wake?
Tuoneeni tu!! Ila mjue Mungu mtenda haki hajalala.