Rurakha
Senior Member
- Oct 20, 2019
- 121
- 209
Salam kwanza kabisa napenda kushare na nyinyi uzoefu wangu kuhusu mfumo wa malipo wa Selcom
Mimi ni Wakala wa benk na mitandao ya simu huwa ninafanya miamala mingi ya malipo kama tra ada ya vyuo vya serikali kwa kupitia mfumo wa malipo wa selcom
Sasa nachotaka kuwatahadharisha ni kwamba huu mfumo usiweke pesa nyingi ikitokea system ikafeli hawa jamaa hawarejeshi haraka na wana changamoto zifuatazo:
1. Hawana Sera ya Huduma kwa mteja tofauti na Benk kama wanavyofanya pia hawana muda maalum wa kutatua changamoto
2. Huduma zao mbovu sana hasa huduma kwa mteja nimefanya muamala sytem ikafeli mpaka kesho pesa zangu hazijarudi ni wasumbufu sana na leo wiki imepita jitahidini mtumie mabenki ukitaka kuamini pitia coments zao angalia comments za wateja jamaa wanazingua sana alafu majibu yao ni tunafanyia kazi
Mimi ni Wakala wa benk na mitandao ya simu huwa ninafanya miamala mingi ya malipo kama tra ada ya vyuo vya serikali kwa kupitia mfumo wa malipo wa selcom
Sasa nachotaka kuwatahadharisha ni kwamba huu mfumo usiweke pesa nyingi ikitokea system ikafeli hawa jamaa hawarejeshi haraka na wana changamoto zifuatazo:
1. Hawana Sera ya Huduma kwa mteja tofauti na Benk kama wanavyofanya pia hawana muda maalum wa kutatua changamoto
2. Huduma zao mbovu sana hasa huduma kwa mteja nimefanya muamala sytem ikafeli mpaka kesho pesa zangu hazijarudi ni wasumbufu sana na leo wiki imepita jitahidini mtumie mabenki ukitaka kuamini pitia coments zao angalia comments za wateja jamaa wanazingua sana alafu majibu yao ni tunafanyia kazi