Uchaguzi 2020 Tahadhari kwa mawakala kwa vyama vya upinzani nchini tarehe 27/10/2020 mkalale kwenye ofsi za vyama vyenu

PAZIA 3

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
1,074
1,856
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
 
Umelisemea vizuri. Na wafuate ushauri wako. Lakini ilitakiwa kuwa tofauti karne hii mwaka huu. Ilitakiwa kuwe na nakala ngumu au ya kielektroniki ya utambulisho wa wakala kwa msimamizi wa kituo, ili hata akipoteza au kunyang'anywa ya kwake njiani bado akubaliwe pale.
 
EkdqfzjXEAIIVZw.jpeg
 
Umelisemea vizuri. Na wafuate ushauri wako. Lakini ilitakiwa kuwa tofauti karne hii mwaka huu. Ilitakiwa kuwe na nakala ngumu au ya kielektroniki ya utambulisho wa wakala kwa msimamizi wa kituo, ili hata akipoteza au kunyang'anywa ya kwake njiani bado akubaliwe pale.
Watoe copy ndo atembee nayo original aletewe na afisa wa chama akishafika kituoni
 
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.
 
Ccm wanategemea kuandaa mawakala feki, na kuwapa viapo, wamewaelekeza wawahi vituoni kabla mawakala original hawajafika ili itokee vurugu, ili iwe sababu ya kuwakamata mawakala na kuwaficha polisiwakati huo wanaiba kura
 
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.
Katiba mpya Ni sera kuu, hayo mengine yaliyomo yamo
 
Wewe nae! Wakalale kwenye ofisi za vyama vyao kwani vyama vyao vina ofisi? Zaidi watasababisha kusanyiko lisilo na kibali wakamatwe bure. Mfano pale ufipa watakusanyika wapi? Zaidi watajikuta kwenye korido la yule mganga jirani na kijiofisi chao au katika Bar iitwayo kinondoni kilabu. Walale tuu kwao pakulala ofisini hamna watakamatwa kama wazururaji.
 
Bashiru kasema kwamba upinzani wa mwaka huu ni dhaifu sana kuliko miaka yote ya vyama vingi hapa Tanzania. Mnajifanya kubeza statement hiyo.Sasa ndiyo mnakwenda kuamini kwamba guys you are totally disorganised in wholesale. Poleni ilani ya ccm imependwa sana na wananchi na officially inaanza kutekelezwa rasmi 6/11/2020
 
Back
Top Bottom