PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020