Hii ni 2012...ukiona mtu anatapeliwa kwa style hiyo basi hana haja ya kuwa na hiyo Facebook account to start with. Atulie humu jamvini na kujisomea blogs tu. Ni Ushauri wa bure tu.
Mkuu,nashukuru kw notification,bt kama ulipigwa POLE and Jst take it as a lesson. Ktk utandawizi huu watu kama hao huwa hawakosi.Afu hao wanadhalilisha madada.Kwa nn wajipendekeze pendekeze kwa wanaume?eti cna nauli?For th fest tym!hata kama ningekuwa Nafanya kazi BOT!Usiruhusu illogical ideas zikuingie kchwan.
Tamaa mbaya jamani wanawake wako live kibao wanasubiri kuguswa 2 unakwenda kujilia unavyotaka, na akili zako za kuazima unahangaika mpaka unaibiwa na mademu wa kwenye fb, huu ni ujinga uliopitiliza,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.