Mwanajeshi akamtafutia shamba Jamaa ake, Jamaa hakulipenda.Mwanajeshi amekutana na jamaa akajitambulisha ni mwanajeshi mwenzake...
Duh endelea plsMwanajeshi amekutana na jamaa akajitambulisha ni mwanajeshi mwenzake..
.
Mwanajeshi alikua na safari ya Arusha kutoka Moshi akampa lift Mjeshi mwenzake..
.
Wakafika USA jamaa akashuka wakabadilishana number..
.
Jamaa akamwambia anahitaji kununua kiwanja/shamba Arusha amsaidie....View attachment 2572335
Lengo la kukuletea hili ni wewe uwe makini zaidi maana dunia imechafuka.Mwanajeshi akamtafutia shamba Jamaa ake, Jamaa hakulipenda.
Mwanajeshi akamtafutia shamba Jamaa ake, Jamaa hakulipenda.
.
Akamshauri kabla hawajaenda kuangalia eneo lingine wapige supu.
.
Wakaingia Bar wakati wanapiga supu Jamaa akaomba funguo akaweke mafuta Serikalini.
.
Ndo gari ikawa imeondoka hivyo, anyway ukiiona sehemu toa taarifa.View attachment 2572336
Hyo siyo mpya, au magari used Japan nayo ni mapya?Yani wamempiga Premio yake mpya kabisa mzigo number EAD anaangalia...
Amna kitu kama gari imetokomea kenya ukoAtadakwa huyo
Tuwe na subira
kabisaa...yaan siku hizi ni mwendo wa ubaya ubaya tu!duh dunia kweli ni tambala bovu imani imeondoka kabisa hakuna kuaminiana tena
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app