TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Status
Not open for further replies.
"Mods wanauwezo hata waku locate ip add za watu so mkiona mtumiaji ID nyingi tapeli toka pale pale mshughulike"

Kama Mods wana uwezo huo na kama kuna wanaTISS wamejipenyeza katika hao Mods, tuna uhakika gani na usalama wa identity ya members wa JF!! Just an observation.
 
Naunga mkono hoja. Kweli humu JF kuna matapeli ingawa siyo wote. Mimi nimenunua sana kupitia JF na karibu mara zote nimeuziwa vitu genuine, kasoro mara moja. Nilinunua the so called universal solar charger for laptops and mobile phones. Muuzaji alimwaga sifa kibao mpaka nikaingia laini. Cha ajabu ni kwamba siyo charger hata kidogo bali ni kama universal battery ya laptops. Baada ya kumweleza matatizo yake muuzaji kakata mawasiliano, ingawa bado yumo JF.

Tujihadhari!!!

Nahisi tuanze na huyu mtaje!!
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!

Asante kwa angalizo.

Nimeweka tangazo, kweli ninamhitaji huyu mtaalam na wala si utapeli. JF itanisaidiaje?
 
Watakaothibitishwa kuwa ni matapeli wawe banned kwa manufaa ya wanajamii
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!

Sorry kuna wengne ni wageni Jf itakuwa vizuri kama ukatuambia namna ya kuwahusisha pindi tufanyapo biashara.
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!

Hapo sawa !!
 
duh! kweli wajinga hawaishi ngoja nami niangilie naweza kumtapeli nani hapa ili niweze kupata pesa za kuweza kutoa huo mchango wa Tsh 30,000/=
Nalog off
 
Ni kweli kabisa mm nishatapeliwa kimapenzi na dasa furan wa humu jf.ila naoja aibu kuweka kisa chenyewe lakini haki ndiyo hiyo wa kuu
 
Katika kukabiliana na ili swala la utapeli! Ni vyema wana JF, yani uongozi wa JF ukaanzisha jukwaa maalum kwa ajiri ya kuprocess matangazo na iwe kwa premium member alone! Na pia mnavyokuwa mnapokea matangazo kutoka kwenye makampuni au watu binafsi ni vyema kujua at least address za hiyo kampuni na pia ID au cheti maaulum kinachomtabulisha mtu binafsi ambaye anataka kufanya tangazo, hizo information lazima ziwe zipataikana kwenye office zenu phyisically na siyo online kwenye website yenu.Hii itasaidia kuepesha utapeli kupitia hili jukwaa lenu, kwasababu mtu akitapeliwa kupitia ili jukwaa lenu lazima atawalaumu nyie atakama hatawafuata na kuwambia.Na pia matepeli wakizidi kwenye JF ni sawa na kuwakimbiza watu kutoka kwenye ili jukwaa lenu.

Ni vyema ili swala mkalifanyia ufumbuzi kabla alijakomaa wakuu.

Traders Easy Way-We Supply According to your Budget - Projectors and Screens

Asanteni!
 
kama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee,na baada ya kufungiwa account yake awekwe hadharani ili iwe fundisho kwa watu wengine..Naunga mkono hoja :A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Labda kutundika majina ya hao matapeli, sidhani kama yule aliyetapeliwa atathubutu kuja kuweka bayana hapa kwamba ametapeliwa kutokana na nature ya tukio lenyewe la ku-tapeliwa kama la aibu vile, unless kuwe na utaratibu mwingine wa kujiweka wazi kwamba umu0hanga wa tatizo hilo.

Aibu sio kutapeliwa, mtu yoyote anaweza kutapeliwa, angekuwa amebakwa hapo kweli na bado wapo watu wenye ujasiri wa kusema wanasema na wala hakuna aibu, aibu kubwa ni kumuona yule aliyekufanyia ushenzi akitamba.
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!

Ni kweli kabisa kuna member humu ndani si waaminifu kabisa.Kuna mmoja januari mwaka huu aliniahidi kunipatia gari kwa Tsh. 3.5 m hadi leo sijaipata na fedha nilishampatia zaidi ya Tsh.3.8 m.Nimefadhaishwa sana na nasikitika sana na nimemwachia Mungu,maana nimepata tayari Gari lingine.Nina hakika haitamsaidia zaidi ya kumwongezea mateso na dhiki kuu ili ajue Mungu hajaribiwi.
 
Status
Not open for further replies.
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom