TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Mbona matapeli kila siku wanazaliwa na kila siku wanajiunga JF????

Cha msingi kila abiria achunge mzigo wake .

Naamini hata wakitajwa na ID zao kuwekwa hadharani bado kwa ujinga wa watanzania waliowengi watalizwa tu coz watabadili ID na mchezo unaendelea kama kawa.

Mfano:- Kuna chama cha matapeli (cc..) lakini mbona mijitu imo na inajiandaa kutapeliwa tena mwaka huu?????
 
Nyongeza ni kwamba - utapeli ni pamoja na kufanya mambo huku ukihofia kufahamika. Binafsi nawashtukia member wengi ambao hata Avator wameweka vitu vya ajabu - sio sura zao. Wanahofia nini kama kweli ni wasafi kwenye matendo yao? Matapeli ni wengi humu japo kuna ..... (jaza)
 
Ninaungana na anayesema kwamba ID za matapeli zitangazwe. lakini pia nafikiri haitatosha. Itapendeza kama tutakwenda mbali zaidi, kwa wale waliotapeliwa kuleta majina kamili ya hao matapeli. Ili baada ya kuwa na ushahidi wa kutosha, majina kamili pamoja na ID zao yatundikwe hapa. Hilo litasaidia si tu wanachama wa JF, bali pia na raia wengine wa mtaani ambao huwa wanatembelea mitandao ya kijamii.
atajitetea "nilikua napokea amri...." hapa dawa ni kutoa mfumo
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:

Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!

Pia napenda kuwaomba wana jf tupeana elimu zaidi juu ya imani mabalimbali zinazodhania kutukwamisha hasa katika ujasiriamali mambo haya yapo kweli na kama yapo tutumie njia gani kukabiliana nayo na hata kutazua kama inawezekana.

1. Chuma ulete(elimu ya kimazingara kadiri unavyojitahidi kutafuta kipato lakini kipato kile wanachuwa wataalamu bila ya wewe kufahamu na matokeo yake unakua unashuhudia kipato chako hakikui au hamna mabadiliko ya kimaendeleo).

Napenda kuwasilisha karibuni tushikishane uzoefu!
 
MAFUNZO YA USINDIKAJI MAZIWA.

Tunatoa mafunzo ya wiki moja ya usindikaji na uhakiki wa ubora wa maziwa hapa Morogoro SUA. Piga simu namba 0657-193935/0755-027893 kwa Mr Watuta upate maelezo zaidi.
 
mfichaficha maradhi kilio kitamfichua
Labda kutundika majina ya hao matapeli, sidhani kama yule aliyetapeliwa atathubutu kuja kuweka bayana hapa kwamba ametapeliwa kutokana na nature ya tukio lenyewe la ku-tapeliwa kama la aibu vile, unless kuwe na utaratibu mwingine wa kujiweka wazi kwamba umu0hanga wa tatizo hilo.
 
Mbona matapeli kila siku wanazaliwa na kila siku wanajiunga JF????

Cha msingi kila abiria achunge mzigo wake .

Naamini hata wakitajwa na ID zao kuwekwa hadharani bado kwa ujinga wa watanzania waliowengi watalizwa tu coz watabadili ID na mchezo unaendelea kama kawa.

Mfano:- Kuna chama cha matapeli (cc..) lakini mbona mijitu imo na inajiandaa kutapeliwa tena mwaka huu?????
Mhhh!
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:

Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!
Kuna jamaa mmoja hivi anaitwa Nikson Johnson Mapunda ni tapeli wa kutupwa hafai kabisa humu jf
 
TAZAMA MADEM WA CHUO WAKITOMBWA LIVE HAPA !!!
USISAHAU KUSUBSCRIBE ILI UPATE UTAMU ZAIDI.
 
kama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee,na baada ya kufungiwa account yake awekwe hadharani ili iwe fundisho kwa watu wengine..Naunga mkono hoja :A S thumbs_up::A S thumbs_up:
Account ya pesa au JF?

Hivi inachukuwa DK. ngpi kufunguwa ID mpya?

Muhimu ni kutoamini yeyote mitandaoni.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom