Jason Statham2
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 692
- 1,009
nishalizwa kwa kuwaamini amini wasioaminika
Ndani ya JF?
nishalizwa kwa kuwaamini amini wasioaminika
Wee ni Nani?Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.
Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).
Nisisitize, KUWENI MAKINI NA MATAPELI!
Wasalaam jfWakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.
Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).
Nisisitize, KUWENI MAKINI NA MATAPELI!
Tuko wengi nami pia ntfctn sizipsti paka niinvie kwa appWasalaam jf
Nina tatizo la a count yangu ya jf sipati notification ya either ringtone au ile icon ya kwenye screen kuonyesha kama kuna mtu kani QUOTE au LIKE au PM sipati any notification.
Only kwenye JF tu.
Naombeni msaada tafadhali
Mkuu Salam.Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.
Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).
Nisisitize, KUWENI MAKINI NA MATAPELI!
Mimi ninachotaka ni refund ya hela uliyopata. Kwanini hunilipi na kwanini umeniblock?
Mkuu kwanini sijakusingizia wewe?Mwl.RCT Je, ni tuhuma za kweli hizo kutoka kwa mkuu Ikena !?!!
Wakuu JamiiForums mnasemaje juu ya hilo?
Nimekuwa nikisoma 1 na 2 za wadau jinsi MWL.RCT anavyo wasaidia katika masuala ya ununuzi wa bidhaa mtandaoni si chini ya miaka miwili 3 hivi.Mkuu kwanini sijakusingizia wewe?
Na nimchafue yeye ili nipate faida gani?
Wewe unamjibia kama nani wake?Nimekuwa nikisoma 1 na 2 za wadau jinsi MWL.RCT anavyo wasaidia katika masuala ya ununuzi wa bidhaa mtandaoni si chini ya miaka miwili 3 hivi.
Vuta subra kidogo mkuu ili naye mhusika aje hapa tuusikilize utetezi wake lakini pia atufahamishe hali ya mabadiliko ya janga la Kovid19 na chanjo zake kwa Ulaya, Asia, na America wamefikia wapi, na lini wanatarajia kufungua milango rasmi kwa ajili biashara hiyo manunuzi ya bidhaa mtandaoni.
Baadaye tutawa-tag na wakuu wengine nao watoe yao ya moyoni.
Mkuu mimi sina sababu ya kumchafua, nilichoongea ni ukweli mtupu, ushahidi upo.Mkuu MWL.RCT nafikiri ungemjibu mkuu Ikena kuliko kukaa kimya kwa maana tuhuma kama hizi zinaweza kukuharibia brand name yako na biashara yako pia.
Mema 99 ya mtu huharibiwa na neno 1 tu, Mema yote husahaurika na kukumbukwa baya 1 tu ulilotenda iwe ni la kweli au la kutuhumiwa tu.