jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
jana maneja wa bar moja alinishawishi kunywa bia ya castle light kwa sababu stock ya bia za ndovu alizokuwa nazo zilikuwa zimeisha muda wake.nilishawishika na kuanza kuzigonga 'lights' kadhaa.
Leo tena meneja ananiambia niendelee kunywa castle light,hapo ndipo nilipoamua kuangalia expery date!
Nimeangalia kreti zaidi ya mbili bila kuona expery date kwenye bia hizi mbili.kama unabisha chunguza sasa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Leo tena meneja ananiambia niendelee kunywa castle light,hapo ndipo nilipoamua kuangalia expery date!
Nimeangalia kreti zaidi ya mbili bila kuona expery date kwenye bia hizi mbili.kama unabisha chunguza sasa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA