Tahadhari: Kuihusisha CCM au mtu yeyote na 'ulipuaji mabomu' mapema si sahihi!

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,824
Wakuu,

Nashauri tusiituhumu CCM kuwa imehusika katika kulipua bomu huko Arusha katika mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA, bila utafiti, upelelezi wala uchunguzi hata wa awali.

Si vyema kuhusisha CCM na matukio haya ya milipuko ilhali hatuna hata chembe ya ushahidi wa kuhituhumu CCM, nawataka wote mnao tuhumu CCM kuwa imehusika muache, kwani mnawakwaza 'wafia chama'.

CCM haina ajenda ya siri na hili taifa. Kwa mantiki hii, haiwezi kuendesha shughuli ambazo baadhi ya wanachama humu mnatoa tuhuma dhidi yake kuwa imehusika na mlipuko huko Arusha.
 
AA wapi. Lile la kanisani lilikuwa lenu, na hili ni lenu, au la cdm au TLP, au CUF au nani tuambie
 
Peleka huko propaganda zako. Hata kwenye uhalifu wowote lazima suspect anakuwepo na uchunguzi unaanza na wale suapects. Kwa mazingira yaliyopo CCM ni suspect namba moja. Na uache kabisa ujinga wako maana watu wamepoteza maisha hapa, damu ya watu wasio na hatia imemwagika.
 
Hata wanywa gongo wanajua CCM chini ya huyo myiramba na Msomali ndio wamua watu \watanzania wetu. Upuuzi wako peleka huko kwenu
 
Pamoja na kwamba NILIKWISHA KUKUDHARAU tangu juzi , lakini kwa taarifa yako ni kwamba ' ENDELEA KUTEGA SIKIO LAKO ' !
 
Ingekuwa tuna serikal sikivu bas ingeanza wewe ktk kuisaidia police!Kwan kuna raia ambao wanamilik mabomu?

Km ccm yako ingekuwa makin kwa matukio yanayoendelea nchin hv juzi tu kuna bomu limeripuliwa kanisan na watu kadhaa walijeruhiwa,je,jesh la police na serikal hii sikivu imechukua hatua zipi kwenye mikusanyiko ya watu??kesho kwenye uchaguz tutegemee tena?

Au huku mpirani nako tuanze kuwa makini!

UTAKE USITAKE ccm yako Imetufikisha Pabaya!Siku hzi watu kupigana risasi mahal popote pale hata bar ni suala la kawaida,milkpuko ya mabomu,watu kuteswa,kung'olewa kucha,meno,kutobolewa jicho!!
 
huu ni upuuzi ccm wanfanya..kutisha watu kuhusu kupiga kura ila nacho jua MUNGU ashindwi hata siku moja
 
Wakuu,

Nashauri tusiituhumu CCM kuwa imehusika katika kulipua bomu huko Arusha katika mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA, bila utafiti, upelelezi wala uchunguzi hata wa awali.

Si vyema kuhusisha CCM na matukio haya ya milipuko ilhali hatuna hata chembe ya ushahidi wa kuhituhumu CCM, nawataka wote mnao tuhumu CCM kuwa imehusika muache, kwani mnawakwaza 'wafia chama'.

CCM haina ajenda ya siri na hili taifa. Kwa mantiki hii, haiwezi kuendesha shughuli ambazo baadhi ya wanachama humu mnatoa tuhuma dhidi yake kuwa imehusika na mlipuko huko Arusha.

Utake usitake Chama cha mabomu[CCM]KINAHUSIKA.
 
Tuambie wewe nani anahusika?mikutano ya chadema nani anaivuruga?

Mkuu, kusema nani ana husika kwa sasa siwezi, kwani ndio mantiki ya kuleta huu uzi, si vyema kuhusisha CCM au mtu yeyote kwa hivi sasa.

Ni vyema tuwe na subira na uvumilivu, kwa kipindi hiki ambacho uchunguzi unaendelea kufanyika ili kubaini nani hasa amehusika na tukio hilo la kinyama.
 
Dereva wa bajaji...anaitwa 'Ambrosi'... Nchimbi bhana! Aya,na huyu wa leo je?? Wa boda boda eh!
 
Wakuu,

Nashauri tusiituhumu CCM kuwa imehusika katika kulipua bomu huko Arusha katika mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA, bila utafiti, upelelezi wala uchunguzi hata wa awali.

Si vyema kuhusisha CCM na matukio haya ya milipuko ilhali hatuna hata chembe ya ushahidi wa kuhituhumu CCM, nawataka wote mnao tuhumu CCM kuwa imehusika muache, kwani mnawakwaza 'wafia chama'.

CCM haina ajenda ya siri na hili taifa. Kwa mantiki hii, haiwezi kuendesha shughuli ambazo baadhi ya wanachama humu mnatoa tuhuma dhidi yake kuwa imehusika na mlipuko huko Arusha.


I think there ar some missing screws in your brain HAMY-d. You are always in wrong track and giving non sense comments. We are aware of these awkward games played by ccm. You are always defending something you are not aware of and their impact in you personal life. a number of innocent are suffering and others died by ccm silly tricks. so waht happened in Arusha in among CCM stupid game to win peoples consent in tomorrow's election. Almighty God is the only One to give us a right path. You will not live for ever in this planet earth, do your responsibility and treat others as human being.
 
hivi cku hizi mabomu yanapatikana kirahic kiac hichi? Ccm mnaipeleka wapi nch hii? Kwa nini mnalazimisha madaraka?
 
kama unasema ccm wasishutumiwe basi ni vyema nawe ukaacha kuwatetea kwamba hawana ajenda ya siri
 
wewe pia umefanya kosa kwa ndio una chochea zaidi bora ungenyamaza maana huweZI KUZUIA WATU KUHISI AU KUTUHUMU.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom