Uchaguzi 2020 Tahadhari kuhusu Uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa vya Kupigia Kura

Huu ujinga na ufirauni ni dharau kubwa kwa Watanzania.
Dunia ya sasa ina technology, idadi kubwa ya watu na vyombo vingi vya Habari, kama kuna wizi wowote utaonekana kama sasa ivi unavyoonekana.
 
Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa CHADEMA Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.

Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/ Bubu/ Hewa.

Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/Bubu/Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/ Bubu/ Hewa ukawa ni bahati mbaya.

Ikumbukwe kwamba uwepo wa Vituo FEKI/HEWA/BUBU ni kiashiria Kikuu cha KUWEPO Kwa Kura FEKI sehemu (in the form of hard copy or soft copy). Hivyo kudhibiti vituo FEKI ni kudhibiti Kura FEKI na ushindi FEKI.

Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
ccm chini ya mwenyekiti wao wanajinadi kwa waliyoyafanya ktk hii miaka 5,miaka 5 hio mwenyekiti wako kazunguka sehemu mbalimbali hapa nchini akipiga kampeni huku upinzani ukifumbwa mdomo.......je nini kimetokea hadi uchaguzi huru na haki kwao hawataki na imekuwa ni mwiba kwao? ndio haya sasa tunasikia uwepo wa vituo hewa,whats wrong with them
 
Yes, unasema kweli kabisa..

Ni kweli liko lundo la kura feki na zimeshapigwa tayari zikiwa na tiki (√) kwa mgombea Urais wa CCM - Jiwe..

Huu ndiyo mtindo wa wizi wa CCM katika kila uchaguzi...

Uwepo wa vituo hivi feki (hewa) lengo lake ni kupitishia hizi kura feki..

Zingine zitapitia kwenye vituo hivyo hivyo halali iwapo kituo hakitakuwa na wakala aggressive..

Tukumbuke wasimamizi wa vituo vya kupigia kura ambao wengi ni watumishi wa umma (walimu, manesi, maafisa kilimo na mifugo, madaktari, watendaji vijiji na mitaa nk nk )wana maelekezo maalumu ya namna ya kufanikisha zoezi hilo la wizi wa kura ili kumshindisha Magufuli.

Hawa watumishi wametishiwa kufukuzwa kazi iwapo kituo anachosimamia mtumishi yeyote wa umma itaonesha Tundu Lissu (CHADEMA) amemzidi Magufuli (CCM) kwa idadi kura zilizopigwa kituoni hapo..!

Solution ya hili ni kuwadhibiti tu. Yaani iwe toe to toe, face to face ktk kila stage na wakionekana wachezee kichapo cha haja bila kuwaonea haya..
Magufuli must go!
Maonevu imetosha
 
Ninashindwa kuelewa mantiki/logic ya mpiga kura akikosea anapewa karatasi ya kupigia kura nyingine, kutumia vitambulisho mbadala ie.vitambulisho vya NIDA/leseni ya udreva/passport. Ndiyo sababu wapiga kura wengine wanasema ballot paper zimechapishwa hapahapa nchini kwa 7bu zingechapishiwa nje ya nchi gharama zingetisha, (dola za Marekani) hivyo ballot papers zingekuwa kwa idadi ya wapiga kura tu...ie mpigakura mmoja ballot paper moja.Binafsi mie ni mpiga kura tangu uongozi wa Mwl Nyerere ila sijawahi ona kura ukiharibu unarudia. Halikadhalika kitambulisho cha mpigakura ndio pekee huwa kinatumika .
Kuna za ziada.ni mwendo wa hujuma tu
Matokeo yakitoka ccm imeshinda mjinga ndo atakubali.
 
Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa CHADEMA Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.

Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/ Bubu/ Hewa.

Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/ Bubu/ Hewa ukawa ni bahati mbaya.

Ikumbukwe kwamba uwepo wa Vituo FEKI/HEWA/BUBU ni kiashiria Kikuu cha KUWEPO Kwa Kura FEKI sehemu (in the form of hard copy or soft copy). Hivyo kudhibiti vituo FEKI ni kudhibiti Kura FEKI na ushindi FEKI.

Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
Malalamiko FC! Mmeshajua mmeshindwa sasa mnatafuta sababu tu za kijinga!
 
Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa CHADEMA Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.

Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/ Bubu/ Hewa.

Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/ Bubu/ Hewa ukawa ni bahati mbaya.

Ikumbukwe kwamba uwepo wa Vituo FEKI/HEWA/BUBU ni kiashiria Kikuu cha KUWEPO Kwa Kura FEKI sehemu (in the form of hard copy or soft copy). Hivyo kudhibiti vituo FEKI ni kudhibiti Kura FEKI na ushindi FEKI.

Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
Utakuta kituo cha wapiga kura 500 ina vituo (a-f )au (1-7) hii ina maana gani
 
Mshaanza kupaparika kama bisi kwenye kikaango. Huyo huyo mgombea wenu sijui tundu la wap statute shughuli nyengine ya kufanya. Hii baada ya tar 28 kupita.
 
Back
Top Bottom