Tahadhari: Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani ya Tanzania

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani yetu hususan miji ya Lindi,Mtwara,Dar es salaam,Unguja,Mombasa,Malindi

Chanzo kinasema upepo huo unatarajiwa kati ya tarehe 21/4/2021 na 26/4/2021.

Hivyo tuchukue tahadhari na bahari kwa siku hizi,na kufuatilia utabiri wa hali ya hewa

Nchi nyingine zitakazoathirika ni pamoja na,Madagascar,Seychelles,Mayote na Msumbiji

Chanzo cha Habari@ al Jazeera news /weather report.
 
21 April 2021

Severe Tropical storm Jobo can have 130kph Tropical Storms update 21/04/2021 09:19am


Source: Cyclone Evolution

Tanzania, Seychelles, Comoros - Tropical Cyclone JOBO (GDACS, JTWC, Meteo France La Reunion, NOAA-CPC) (ECHO Daily Flash of 21 April 2021)

FormatNews and Press ReleaseSource
Posted21 Apr 2021Originally published21 Apr 2021OriginView original
  • A new Tropical Cyclone named JOBO, formed over the south-western Indian Ocean, is moving west-northwest towards the eastern coast of Tanzania. On 21 April at 0.00 UTC its centre was located approximately 260 km north of Antisiranana City (northern Madagascar) and 250 km east of Assumption Island (southern Seychelles) with maximum sustained wind of 83 km/h (tropical storm).
  • JOBO is forecast to continue west-northwest passing close to the Outer Islands (Seychelles) on 21-22 April with maximum sustained wind up to 130 km/h. It could make landfall over the north-eastern coast of Lindi Region (south-eastern Tanzania) on 25 April.
  • For the next 24 hours, heavy rain, strong wind and high waves are forecast over the Outer Islands (particularly Assumption, Astove, Cosmoledo and Aldabra). Moderate to heavy rain and strong wind are expected over northern Madagascar, Comoros and Mayotte (France).
Primary country
Other countries
Source
 
Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani yetu hususan miji ya Lindi,Mtwara,Dar es salaam,Unguja,Mombasa,Malindi
Chanzo kinasema upepo huo unatarajiwa kati ya tarehe 21/4/2021 na 26/4/2021....
Hivyo tuchukue tahadhari na bahari kwa siku hizi,na kufuatilia utabiri wa hali ya hewa
Nchi nyingine zitakazoathirika ni pamoja na,Madagascar,Seychelles,Mayote na Msumbiji
Chanzo cha Habari@ al Jazeera news /weather report.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yo
IMG-20210422-WA0002.jpg
 
Kimbunga Jobo kinaelekea Tanzania, ni cha aina yake tokea 1952

Apr 22, 2021 11:22 UTC

Kimbunga kikali zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini Tanzania miongo ya karibuni kinatazamiwa kutua katika ukanda wa pwani ukiwemo mji wa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashirika ya kimataifa ya utabiri wa hali ya hewa, kimbunga hicho ambacho kinajulikana kama Jobo kinatarajiwa kuwa kikubwa zaidi kuwahi kutua Tanzania tangu mwaka 1952.

Kwa mujibu wa taarifa, jana kimbunga hicho kilionekana kaskazini mwa Madagascar kikiwa na kasi ya kilomita 83 kwa saa.

Utabiri unaonyesha kuwa kimbunga hicho kitapita eneo la Ushelisheli leo Aprili 22 kikiwa na kasi ya kilomita 130 kwa saa na kinatazamiwa kutua Tanzania Aprili 24 au 25.

Upepo mkali wakati wa kimbunga

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadahrisha kuwa kimbunge hicho cha Bahari ya Hindi kinaweza kusababisha upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Lindi na Mtwara. Aidha kuna uwezekano wa kutokea mafuriko katika maeneo athirika.

TMA imesema itaendelea kufuatilia kimbunga Jobo na kuwapasha wananchi habari kuhusu tahadhari zinazopasa kuchukuliwa.
 
Mbona TMA inasema wanaotakiwa kujiandaa nacho ni Lindi na Mtwara tu?
 
Wote tunajua TMA hawana uwezo huo, wasitishe watu.

Kama mnabisha, ngoja muone.
 
Naona suala kama hili vyombo vyetu vya habari havitoi umuhimu kimbunga kama hiki kinaweza kuleta maana makubwa . Watanzania tumezoea lawama baada ya matokeo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom