ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani yetu hususan miji ya Lindi,Mtwara,Dar es salaam,Unguja,Mombasa,Malindi
Chanzo kinasema upepo huo unatarajiwa kati ya tarehe 21/4/2021 na 26/4/2021.
Hivyo tuchukue tahadhari na bahari kwa siku hizi,na kufuatilia utabiri wa hali ya hewa
Nchi nyingine zitakazoathirika ni pamoja na,Madagascar,Seychelles,Mayote na Msumbiji
Chanzo cha Habari@ al Jazeera news /weather report.
Chanzo kinasema upepo huo unatarajiwa kati ya tarehe 21/4/2021 na 26/4/2021.
Hivyo tuchukue tahadhari na bahari kwa siku hizi,na kufuatilia utabiri wa hali ya hewa
Nchi nyingine zitakazoathirika ni pamoja na,Madagascar,Seychelles,Mayote na Msumbiji
Chanzo cha Habari@ al Jazeera news /weather report.