son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Majuma kadhaa nyuma Mh Rais na waziri wa tamisemi walishauri wananchi kujifukiza na nyungu kama kinga yacovid 19 lakini walisahau jambo moja tu kuwa miongoni mwa wananchi kuna wenye mashetani na maruhani.
Nyungu ni kiboko ya wachawi na majini na hii nina ushahidi nao kuna ndugu yetu alitupiwa mashetani na ilifikia hatua akipandisha mashetani anakuwa mtata na anakuwa na nguvu za ajabu na wakati mwili wake mdogo na hata siku 3 hali chakula ndipo alipoletwa mganga na kutengeneza nyungu na tulimkamata jamaa yetu tena tukiwa 7 mijibaba yenye nguvu na kumfukiza nyungu
Asikuambie mtu dogo (shetani) maana sauti ilikuwa tofauti na ya dogo alikuwa anatetemeka kwa hofu na kuanza kuomba msamaha hatorudia tena kusumbua na tukaweka nae mkataba deal amruhusu kijana ale na hapohapo alikubali haraka nk nk
Tahadhari kwa wenye majini usijifukize na nyungu utapandisha bure
NB:nyumba yenye nyungu mchawi,jini haingii harufu inamkereketa san
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyungu ni kiboko ya wachawi na majini na hii nina ushahidi nao kuna ndugu yetu alitupiwa mashetani na ilifikia hatua akipandisha mashetani anakuwa mtata na anakuwa na nguvu za ajabu na wakati mwili wake mdogo na hata siku 3 hali chakula ndipo alipoletwa mganga na kutengeneza nyungu na tulimkamata jamaa yetu tena tukiwa 7 mijibaba yenye nguvu na kumfukiza nyungu
Asikuambie mtu dogo (shetani) maana sauti ilikuwa tofauti na ya dogo alikuwa anatetemeka kwa hofu na kuanza kuomba msamaha hatorudia tena kusumbua na tukaweka nae mkataba deal amruhusu kijana ale na hapohapo alikubali haraka nk nk
Tahadhari kwa wenye majini usijifukize na nyungu utapandisha bure
NB:nyumba yenye nyungu mchawi,jini haingii harufu inamkereketa san
Sent using Jamii Forums mobile app