Tahadhari: Japo Tanzania inaonekana kuelekea upande wa China na Urusi,mataifa hayo sasa ni ya kibepari na kibeberu,ni wanyonyaji tu kama wa magharibi!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,960
20,532
Naona kama tunayakimbia mataifa ya magharibi pengine kwa sababu yanatubana tufate haki za binadamu na demokrasia

Kwa upande wa Urusi,tujikumbushe tu,hili no taifa la kimafia na liko tayari kulinda maslahi yake kwa gharama yoyote ikibidi,navuta picha kama ile migodi ya dhahabu ingekuwa inamilikiwa na urusi!

China tunaowakimbilia, wanaihenyesha Zambia

Nadhani tusikurupuke kuyaegemea mataifa haya,kimsingi afrika si kipaumbele cha urusi


Cc:dk shika
 
Urusi hawawezi wakawakubali hii serekale ya ccm. Mliwasnitch kwenye Non Align Movement hivyo hamuaminiki kabisa nyinyi. Putin alishawahi kuwatukana viongozi wa Africa kwamba mnaishi ulaya, kutibiwa ulaya, shoping ukaya lakini mkifa mnapelekwa kule porini kuzikwa kusikokua na barabara wala huduma muhimu. Mfano mzuri ni Ruge kwao kulikuwa hakuna barabara, gesti, biashara wala hili wale lile lakini alikuwa na jina kubwa.

China yeye anaangalia sehemu ya kudump mali zake za viwanda na sehemu nzuri ni africa. Anakupa mikopo mikubwa ili ushindwe lipa kisha anachukua sehemu ya mkakati huu ndo uchumi wa kibepari hakuna kumsaidia mtu tunaangalia fursa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warusi na Wachina wanaegemea sana kuwa na chama kimoja chenye nguvu kinacho outweight vyama vingine VANGUARD PARTY.Nchi za magharibi wanapendelea utawala wa demokrasia ya vyama vingi,freedom of expression,Kama kuna jambo linalohusu maswala muhimu kwa wananchi kama ya katiba,sheria zinazogusa maisha ya wananchi walio wengi wanapendelea kupigia kura jambo hilo yaani referendum.Nchi za Africa tulikuwa tunaelekea huko katika ustaraabu wa demokrasia ya magharibi ya wengi wape na sio wachache wape wa wachina na warusi.Tukirudi ku adopt siasa za wachina siasa zetu zita fail kwa sababu siasa za aina hizo sio utamaduni wetu.We should learn from History
 
Naona kama tunayakimbia mataifa ya magharibi pengine kwa sababu yanatubana tufate haki za binadamu na demokrasia

Kwa upande wa Urusi,tujikumbushe tu,hili no taifa la kimafia na liko tayari kulinda maslahi yake kwa gharama yoyote ikibidi,navuta picha kama ile migodi ya dhahabu ingekuwa inamilikiwa na urusi!

China tunaowakimbilia, wanaihenyesha Zambia

Nadhani tusikurupuke kuyaegemea mataifa haya,kimsingi afrika si kipaumbele cha urusi


Cc:dk shika
Ina maana na ndege zetu zitaanza safari za kwenda urusi na hazitakanyaga nchi za magharibi?

In God we trust
 
Naona kama tunayakimbia mataifa ya magharibi pengine kwa sababu yanatubana tufate haki za binadamu na demokrasia

Kwa upande wa Urusi,tujikumbushe tu,hili no taifa la kimafia na liko tayari kulinda maslahi yake kwa gharama yoyote ikibidi,navuta picha kama ile migodi ya dhahabu ingekuwa inamilikiwa na urusi!

China tunaowakimbilia, wanaihenyesha Zambia

Nadhani tusikurupuke kuyaegemea mataifa haya,kimsingi afrika si kipaumbele cha urusi


Cc:dk shika
pale unaporuka mkojo ukakanyaga mavi.
 
Warusi na Wachina wanaegemea sana kuwa na chama kimoja chenye nguvu kinacho outweight vyama vingine VANGUARD PARTY.Nchi za magharibi wanapendelea utawala wa demokrasia ya vyama vingi,freedom of expression,Kama kuna jambo linalohusu maswala muhimu kwa wananchi kama ya katiba,sheria zinazogusa maisha ya wananchi walio wengi wanapendelea kupigia kura jambo hilo yaani referendum.Nchi za Africa tulikuwa tunaelekea huko katika ustaraabu wa demokrasia ya magharibi ya wengi wape na sio wachache wape wa wachina na warusi.Tukirudi ku adopt siasa za wachina siasa zetu zita fail kwa sababu siasa za aina hizo sio utamaduni wetu.We should learn from History
Wanataka kuiga kunya kwa Tembo, hakuna mwafrika anaweza siasa za Urusi au China, kule siasa pamoja na kwamba zina dominate single party lakini kuna democrasia ndaninya hizo party. Pili pamoja na kwamba wanatawala kwa mifumo ya kifalme japo haionekani waziwazi wale watu wanajali maendeleo, hali nzuri ya wananchi wao, wanagawa rasimali na keki za taifa lao wanafaidi kwa pamoja. Kwa afrika ni tofauti, wizi, umalaya, kuuwana ndio wanachojua tu. Hali na maendeleo ya wananchi si kipaumbele chao. Tumemsoma Magufuli kwa.kipindi cha kiaka mitatu sasa je anasifa hata moja?? Je ana legitmacy yoyote ya kuendelea kuongzoa nchi kwa amani na akaleta maendeleo?? Ukweli ni Hapana.
 
Wanataka kuiga kunya kwa Tembo, hakuna mwafrika anaweza siasa za Urusi au China, kule siasa pamoja na kwamba zina dominate single party lakini kuna democrasia ndaninya hizo party. Pili pamoja na kwamba wanatawala kwa mifumo ya kifalme japo haionekani waziwazi wale watu wanajali maendeleo, hali nzuri ya wananchi wao, wanagawa rasimali na keki za taifa lao wanafaidi kwa pamoja. Kwa afrika ni tofauti, wizi, umalaya, kuuwana ndio wanachojua tu. Hali na maendeleo ya wananchi si kipaumbele chao. Tumemsoma Magufuli kwa.kipindi cha kiaka mitatu sasa je anasifa hata moja?? Je ana legitmacy yoyote ya kuendelea kuongzoa nchi kwa amani na akaleta maendeleo?? Ukweli ni Hapana.
Magufuli is the best ever president after J K Nyerere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kama tunayakimbia mataifa ya magharibi pengine kwa sababu yanatubana tufate haki za binadamu na demokrasia

Kwa upande wa Urusi,tujikumbushe tu,hili no taifa la kimafia na liko tayari kulinda maslahi yake kwa gharama yoyote ikibidi,navuta picha kama ile migodi ya dhahabu ingekuwa inamilikiwa na urusi!

China tunaowakimbilia, wanaihenyesha Zambia

Nadhani tusikurupuke kuyaegemea mataifa haya,kimsingi afrika si kipaumbele cha urusi


Cc:dk shika
Kwani shida nini kushirikiana na China na Urusi? Mbona ushirikiano huu aujanza leo? Mchina kajenga Tazara 1976 kipindi hiki Maguuli labda akisoma sijui! China kipindi cha Jakaya tekeleza miradi mingi kuliko sasa na JK angekuwa Rais mpaka sasa basi Standard Gauge wangejenga wachina lakini hakukuwa na maneno..!

Lengo la Mh Rais kwa Urusi ni pale Urusi ilipoitangaza Tanzania kama sehemu salama zaidi duani kwa utalii..! Hii ni fursa kwa nchi na kama Mh Rais ameona ni vyema ata kudumisha mahusiano kupitia mwanya uouo waje zaidi watalii toka Urusi na wawekezaji toka Urusi.
 
Msaada wa maendeleo mtegemee nchi za magharibi kwa asilimia 40 ,halafu Leo ndio mjidai warusi ,wachina wenyewe wanawachangia asilimia ngapi kwenye bajeti ? nyie zidini tu kurikoroga maana saa hizi hata kondomu mnakosa , Jiwe acha jeuri .
 
Urusi hawawezi wakawakubali hii serekale ya ccm. Mliwasnitch kwenye Non Align Movement hivyo hamuaminiki kabisa nyinyi. Putin alishawahi kuwatukana viongozi wa Africa kwamba mnaishi ulaya, kutibiwa ulaya, shoping ukaya lakini mkifa mnapelekwa kule porini kuzikwa kusikokua na barabara wala huduma muhimu. Mfano mzuri ni Ruge kwao kulikuwa hakuna barabara, gesti, biashara wala hili wale lile lakini alikuwa na jina kubwa.

China yeye anaangalia sehemu ya kudump mali zake za viwanda na sehemu nzuri ni africa. Anakupa mikopo mikubwa ili ushindwe lipa kisha anachukua sehemu ya mkakati huu ndo uchumi wa kibepari hakuna kumsaidia mtu tunaangalia fursa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa jina kubwa la Ruge ndo lingejenga barabara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kama tunayakimbia mataifa ya magharibi pengine kwa sababu yanatubana tufate haki za binadamu na demokrasia

Kwa upande wa Urusi,tujikumbushe tu,hili no taifa la kimafia na liko tayari kulinda maslahi yake kwa gharama yoyote ikibidi,navuta picha kama ile migodi ya dhahabu ingekuwa inamilikiwa na urusi!

China tunaowakimbilia, wanaihenyesha Zambia

Nadhani tusikurupuke kuyaegemea mataifa haya,kimsingi afrika si kipaumbele cha urusi


Cc:dk shika
Huu uswahiba wa Urusi na Tanzania ni zaidi ya bongo movie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanataka kuiga kunya kwa Tembo, hakuna mwafrika anaweza siasa za Urusi au China, kule siasa pamoja na kwamba zina dominate single party lakini kuna democrasia ndaninya hizo party. Pili pamoja na kwamba wanatawala kwa mifumo ya kifalme japo haionekani waziwazi wale watu wanajali maendeleo, hali nzuri ya wananchi wao, wanagawa rasimali na keki za taifa lao wanafaidi kwa pamoja. Kwa afrika ni tofauti, wizi, umalaya, kuuwana ndio wanachojua tu. Hali na maendeleo ya wananchi si kipaumbele chao. Tumemsoma Magufuli kwa.kipindi cha kiaka mitatu sasa je anasifa hata moja?? Je ana legitmacy yoyote ya kuendelea kuongzoa nchi kwa amani na akaleta maendeleo?? Ukweli ni Hapana.
Naam
 
Jiwe anaona aibu kuwapigia magoti mabeberu aliowananga , wamemkomesha kwa kumpa asilimia 6.7 ya bajeti ya maendeleo sasa kaenda China kutembeza bakuri .
 
Back
Top Bottom