Tahadhari dhidi ya corona: Tigo waanza kuchukua hatua, ukiingia katika ofisi zao unapimwa joto mlangoni

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Naona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.

Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia, na ukiingia ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.

Nawapongeza Tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.

Hongereni sana.
 
Safi hiyo ndio inatakiwa siyo mnapiga tu kelele badala ya kuchukua hatua.
 
Unapimwa joto na askari?
hiki ni kituko cha karne.
ni bora wangeweka mtaalamu wa afya
Acha ujuaji mwingi, Huku niliko (not Tanzania), tangu Corona imeanza hao watu wa security/wahudumu wa sehemu husika ndio wanatupima joto!! Hao wataalamu wa Afya wawekwe kwenye kila geti? Watapatikana wapi? Hata nchi zilizoendelea hawawezi kuimplement hii kitu.
 
Acha ujuaji mwingi, Huku niliko (not Tanzania), tangu Corona imeanza hao watu wa security/wahudumu wa sehemu husika ndio wanatupima joto!! Hao wataalamu wa Afya wawekwe kwenye kila geti? Watapatikana wapi? Hata nchi zilizoendelea hawawezi kuimplement hii kitu. Jf imekuwa ya ajabu sana siku hizi
Vipi huko uliko hakuna vifo vya corona?
 
Acha ujuaji mwingi, Huku niliko (not Tanzania), tangu Corona imeanza hao watu wa security/wahudumu wa sehemu husika ndio wanatupima joto!! Hao wataalamu wa Afya wawekwe kwenye kila geti? Watapatikana wapi? Hata nchi zilizoendelea hawawezi kuimplement hii kitu. Jf imekuwa ya ajabu sana siku hizi
Ww ni mjinga kweli?
Toka lini askari akapima afya ya binadamu
Kichwa chako kimejaa tope la kamasi!
 
Back
Top Bottom