Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Ndugu wana JF wenzangu wasalam,
Baada ya salamu napenda kuelezea kisa cha hivi karibuni kilichotokea cha mama mmoja kupoteza maisha baada ya kupata kansa ya jino iliyotokana na uzembe wa madaktari wa muhimbili.
Kabla ya kupata kansa hiyo na hatimaye kufikiwa na mauti hayo mama huyo aliende hospitali pale muhimbili ili kupata matibabu ya jino lake baada ya kuona maumivu ya jino yakiongezeka siku hadi siku, baada ya Dr. Kumcheki aligundua jino lake limetoboka hivyo alipendekeza kuliziba kwa risasi na kupewa dawa ya kupunguza maumivu . Lakini pamoja na kupata matibabu hayo bado alipata maumivu makali siku hadi siku na kila anaporudi pale muhimbili hupewa dawa za kutuliza maumivu na dawa zinapo kwisha hali hurudia palepale. Baada ya kuhangaika sana, mtu mmoja alimuelekeza aende kwa Dr. Mmoja ana clinic ya meno pale kariakoo, mara tu Dr alipomchunguza aligundua risasi ile aliyowekewa kwenye jino imegusa fizi, ndipo dr alipotaka kujua ni wapi aliwekewa risasi ile yule mama aliposema ni muhimbili basi dr huyo alimpigia simu dr mkuu wa kitengo cha meno ambeye wanafahamia na kumueleza kilichotokea kwa mama mama yule haraka dr huyo wa muhimbili alimwambia ahakishe anaondoa na kusafisha risasi iliyoko kwenye jino kirha kumpeleka pale muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Ndipo ilipogundulika risarh aliyoekewa imesababishia kansa ya jino hali iliyomfadhaisha sana yule mama na kufanya azimie baada ya kupata tarifa hiyo
Ilibidi aende ocean road cancer institute ili kuanza matibabu haraka lakini tunasikitika kabla hajaanza matibabu mauti ilimkuta hivyo kuaga dunia.
Ilisemekana Dr. Aliyemuekea risasi ile ili kuziba tundu kwenye jino alikuwa ni mwanafunzi, hivyo natoa tahadhari kwa wale wote watakaopenda kupata matibabu muhimbili hasa ya jino kuwa makini sana .
Baada ya salamu napenda kuelezea kisa cha hivi karibuni kilichotokea cha mama mmoja kupoteza maisha baada ya kupata kansa ya jino iliyotokana na uzembe wa madaktari wa muhimbili.
Kabla ya kupata kansa hiyo na hatimaye kufikiwa na mauti hayo mama huyo aliende hospitali pale muhimbili ili kupata matibabu ya jino lake baada ya kuona maumivu ya jino yakiongezeka siku hadi siku, baada ya Dr. Kumcheki aligundua jino lake limetoboka hivyo alipendekeza kuliziba kwa risasi na kupewa dawa ya kupunguza maumivu . Lakini pamoja na kupata matibabu hayo bado alipata maumivu makali siku hadi siku na kila anaporudi pale muhimbili hupewa dawa za kutuliza maumivu na dawa zinapo kwisha hali hurudia palepale. Baada ya kuhangaika sana, mtu mmoja alimuelekeza aende kwa Dr. Mmoja ana clinic ya meno pale kariakoo, mara tu Dr alipomchunguza aligundua risasi ile aliyowekewa kwenye jino imegusa fizi, ndipo dr alipotaka kujua ni wapi aliwekewa risasi ile yule mama aliposema ni muhimbili basi dr huyo alimpigia simu dr mkuu wa kitengo cha meno ambeye wanafahamia na kumueleza kilichotokea kwa mama mama yule haraka dr huyo wa muhimbili alimwambia ahakishe anaondoa na kusafisha risasi iliyoko kwenye jino kirha kumpeleka pale muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Ndipo ilipogundulika risarh aliyoekewa imesababishia kansa ya jino hali iliyomfadhaisha sana yule mama na kufanya azimie baada ya kupata tarifa hiyo
Ilibidi aende ocean road cancer institute ili kuanza matibabu haraka lakini tunasikitika kabla hajaanza matibabu mauti ilimkuta hivyo kuaga dunia.
Ilisemekana Dr. Aliyemuekea risasi ile ili kuziba tundu kwenye jino alikuwa ni mwanafunzi, hivyo natoa tahadhari kwa wale wote watakaopenda kupata matibabu muhimbili hasa ya jino kuwa makini sana .