TAHADHARI: Barakoa za kushona ni kaburi tunalijichimbia kwa kasi ya ajabu

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Toka Mh Rais John Pombe Magufuli ashauri kuwa tunaweza kujishonea barakoa wenyewe, hivi sasa miji imejaa watu waliovaa barakoa za kushona.

Barakoa za kushona imekuwa biashara mpya hapa Tanzania. Kila kona unakuta zinauzwa. Machinga wameingia mjini wakiuza barakoa za kushona.

Simaanishi kuwa barakoa za kushona hazifai, bali njia yake ya uzalishaji na usambazaji sio salama kabisa.

Ukitazama mazingira ya hizi barakoa zinavyotengenezwa, kutunzwa na kusambazwa hadi zinapomfikia mtumiaji, si salama kabisa.

Huwezi amini barakoa sasa zinatembezwa kama boxer au nguo za kuvalia ndani. Kila mtu anashika na kuchagua atakayo.

Tusishangae hizi barakoa ndyo zikawa njia nyingine kubwa ya kueneza maambukizi ya covid 19. Sio kila mtu anaweza tengeneza barakoa kwa usalama.

Serikali kama inawapenda wananchi wake hasa wale wanyonge ( wanunuzi wakubwa wa barakoa za kushona) inatakiwa ipige marufuku haraka uuzaji holela wa barakoa za kushona.

Hivi kweli Serikali imeshindwa hata kuingia ubia na kampuni zinazozalisha mifuko na kutengeneza barakoa zilizo salma?

Kuna vitu tunavizembea na vitatucost
sana.

UPDATE.
MOODS NAOMBA MFANYE MAREKEBISHO KWENYE KICHWA CHA HABARI. KUNA TYPING ERROR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lipo kwenye matumizi ya hizo barakoa bila kujari ni barakoa za aina gani,watu hata hawana uelewa wa kwanini hasa wanatakiwa kuvaa hizo barakoa na hasa matumizi yake sahihi ni yapi. Sema ndio hivyo vitisho vya corona ni vingi kuliko elimu yenye kuhusu huo ugonjwa.
 
Jana kuna jamaa kapitisha barakoa za kushona kuna dada kamwita, kachukua ya kwanza kajaribu akaona imekaavibaya akavaa nyingine tena kaona mbaya kajaribu kama 5 mwisho akamuuliza yule muuzaji mbona yako imekaa vizur niuzie hiyo basi,yani ukinunua bora usivae kwanza nenda kafue na ipige pasi.
 
Jana kuna jamaa kapitisha barakoa za kushona kuna dada kamwita, kachukua ya kwanza kajaribu akaona imekaavibaya akavaa nyingine tena kaona mbaya kajaribu kama 5 mwisho akamuuliza yule muuzaji mbona yako imekaa vizur niuzie hiyo basi,yani ukinunua bora usivae kwanza nenda kafue na ipige pasi.
Watu wanavaa kwa shoo tu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana kuna jamaa kapitisha barakoa za kushona kuna dada kamwita, kachukua ya kwanza kajaribu akaona imekaavibaya akavaa nyingine tena kaona mbaya kajaribu kama 5 mwisho akamuuliza yule muuzaji mbona yako imekaa vizur niuzie hiyo basi,yani ukinunua bora usivae kwanza nenda kafue na ipige pasi.
Watu wananunua na kuvaa hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka Mh Rais John Pombe Magufuli ashauri kuwa tunaweza kujishonea barakoa wenyewe, hivi sasa miji imejaa watu waliovaa barakoa za kushona.

Barakoa za kushona imekuwa biashara mpya hapa Tanzania. Kila kona unakuta zinauzwa. Machinga wameingia mjini wakiuza barakoa za kushona.

Simaanishi kuwa barakoa za kushona hazifai, bali njia yake ya uzalishaji na usambazaji sio salama kabisa.

Ukitazama mazingira ya hizi barakoa zinavyotengenezwa, kutunzwa na kusambazwa hadi zinapomfikia mtumiaji, si salama kabisa.

Huwezi amini barakoa sasa zinatembezwa kama boxer au nguo za kuvalia ndani. Kila mtu anashika na kuchagua atakayo.

Tusishangae hizi barakoa ndyo zikawa njia nyingine kubwa ya kueneza maambukizi ya covid 19. Sio kila mtu anaweza tengeneza barakoa kwa usalama.

Serikali kama inawapenda wananchi wake hasa wale wanyonge ( wanunuzi wakubwa wa barakoa za kushona) inatakiwa ipige marufuku haraka uuzaji holela wa barakoa za kushona.

Hivi kweli Serikali imeshindwa hata kuingia ubia na kampuni zinazozalisha mifuko na kutengeneza barakoa zilizo salma?

Kuna vitu tunavizembea na vitatucost sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiamini kuwa unaweza sio kila kitu iletewe kutoka out

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Toka Mh Rais John Pombe Magufuli ashauri kuwa tunaweza kujishonea barakoa wenyewe, hivi sasa miji imejaa watu waliovaa barakoa za kushona.

Barakoa za kushona imekuwa biashara mpya hapa Tanzania. Kila kona unakuta zinauzwa. Machinga wameingia mjini wakiuza barakoa za kushona.

Simaanishi kuwa barakoa za kushona hazifai, bali njia yake ya uzalishaji na usambazaji sio salama kabisa.

Ukitazama mazingira ya hizi barakoa zinavyotengenezwa, kutunzwa na kusambazwa hadi zinapomfikia mtumiaji, si salama kabisa.

Huwezi amini barakoa sasa zinatembezwa kama boxer au nguo za kuvalia ndani. Kila mtu anashika na kuchagua atakayo.

Tusishangae hizi barakoa ndyo zikawa njia nyingine kubwa ya kueneza maambukizi ya covid 19. Sio kila mtu anaweza tengeneza barakoa kwa usalama.

Serikali kama inawapenda wananchi wake hasa wale wanyonge ( wanunuzi wakubwa wa barakoa za kushona) inatakiwa ipige marufuku haraka uuzaji holela wa barakoa za kushona.

Hivi kweli Serikali imeshindwa hata kuingia ubia na kampuni zinazozalisha mifuko na kutengeneza barakoa zilizo salma?

Kuna vitu tunavizembea na vitatucost sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku tunasema ccm na watu wake ni jinamizi. Hamtaki kutuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh! Mkuu kuna point 2 muhimu sana umeongea katika Uzi wako

1) Barakoa kila mtu anashika anachagua ndicho kinachofanyika hapa kkoo yani yawezekana asilimia 90 ya barakoa za kariakoo zina corona

2) Serikali ingeongea na hawa wanaotengeneza mifuko wakatengeneza barakoa ni kweli

Kama wangejiongeza hata wenyewe wangepata pesa nyingi tu maana ule mfuko wa 500 wangeweza kutoa hata barakoa 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh! Mkuu kuna point 2 muhimu sana umeongea katika Uzi wako

1) Barakoa kila mtu anashika anachagua ndicho kinachofanyika hapa kkoo yani yawezekana asilimia 90 ya barakoa za kariakoo zina corona

2) Serikali ingeongea na hawa wanaotengeneza mifuko wakatengeneza barakoa ni kweli

Kama wangejiongeza hata wenyewe wangepata pesa nyingi tu maana ule mfuko wa 500 wangeweza kutoa hata barakoa 10

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli coza material znazotengeneza mifuko ndizo zinatengeneza barakoa za n95

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Screenshot_20200427-132420_Samsung%20Internet.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom