matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Kwa heshima na taadhima nakuomba Mh Magufuli uiangalie kwa makini,mana imeanza kuchimbika na kukwanguka lami
hata kabla ya yakukamilika ujenzi.
Barabara hii inajengwa kwa ufadhiri wa MCC,waliopewa kandarasi ni wahandisi wa Kichina na spidi Yao si haba,vibao vya barabarani vimeshawekwa vizuri na kunapendeza ila ubora wa barabara unatia shaka.
Maeneo yanayoanza kuharibika ni kuanzia vijinga mpaka Tanga mjini vile ile lami hii inazidi kuwa nyeupe tofauti na lami nyingine tunaona huwa ni nyeusi.
Tunaomba barabara hii ikaguliwe mana niyetu watanzania wote.
hata kabla ya yakukamilika ujenzi.
Barabara hii inajengwa kwa ufadhiri wa MCC,waliopewa kandarasi ni wahandisi wa Kichina na spidi Yao si haba,vibao vya barabarani vimeshawekwa vizuri na kunapendeza ila ubora wa barabara unatia shaka.
Maeneo yanayoanza kuharibika ni kuanzia vijinga mpaka Tanga mjini vile ile lami hii inazidi kuwa nyeupe tofauti na lami nyingine tunaona huwa ni nyeusi.
Tunaomba barabara hii ikaguliwe mana niyetu watanzania wote.