Kuokoka ni nini?
Kwa hiyo ili niokoke nijiunge na dini ipi baada ya kumpokea Yesu?Kuokoka---kunusurika katika hatari/baya iliyo mbele yako
Kuokoka kwa maana ya kumpokea Yesu---kutengwa mbali na dhambi na masumbuko ya dunia hii
Uokoke
Akutishe nani wakati siku ya mwisho kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyeweUsitutishe
Ukweli ndio huo unataka kusema na YESU alivyosema acheni wafu wazike wafu wao nae alikosea?utake usitake wewe na mimi ni wafu watarajiwa na ndio sababu tunaambiwa kesheni mkisali kwa maana hamjui siku wala saa atakapo kuja mwana wa AdamuManeno yako yamenibariki lakini kuna sehem umekosea sana sanaaaa kwa useme mwaka huu au mwezi huu au sa hiii kuna mtu atakufa wewe ni nani mpaka uyajue hayo au umtabirie mwanadam mwenzio kuhusu kifo , aliyekuwa wanaweza hayo ni manabiii rudia kusoma vitabu vya dini na utabalikiwa na hii dhambi ya maneno yako ukayatubu
Kwa hiyo ili niokoke nijiunge na dini ipi baada ya kumpokea Yesu?
haaha vifrica vipuuzi sana,kwa hiyo kina mkwawa na babu zetu walienda huo moto mlodanganywa na wazungu?Akutishe nani wakati siku ya mwisho kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe
Heri uamini ukute yapo kuliko usiamini ukute yapo utalia na kusaga menohaaha vifrica vipuuzi sana,kwa hiyo kina mkwawa na babu zetu walienda huo moto mlodanganywa na wazungu?
Amina ni kweli kabisa MUNGU wa mbinguni akubariki sana maana watu wapo radhi watoe taarifa za ngono lakini ww umejaribu kithubutu kuleta tuamaini hili ambalo linakweli ndani yake .....
Mimi kama Mimi namshukuru MUNGU sana maana kabla ya kuokoka nilikuwa na mambo ambayo yalikuwa yananifanya nikose raha nilikuwa addicted na picha za ngono kipindi kile nipo mdogo na nilikuwa nashindwa kuziacha kabisa lakini baada ya kuokoka
Unashinda zaidi ya kushinda unakuwa na amani isiyo ya kawaida unakuwa na ujasiri usio wa kawaida kuna wakati nilifika mahali nikasema BORA NIFE lakini Leo ninalo tumaini ambalo ata nikikutana na jambo gumu kiasi gani bado furaha ile ile amani ile ile ni mengi amenitendea utukufu kwake tu aliye mweza wa yote
Haleleuya !!!!!
Hakuna kitu kama hicho ni mbinu za kutawala akili za low minded ,kama kupo wanaokumiliki mbona wamekufanya siri ina maana wanavizia watu?unaweza kuhukumiwa bila kuwahi kuingia makubaliano ? kaka huu ni upuuzi ,ina maana wasio na imani zenu hizo walio majority watachomwaaa don be stupid bro fanya kazi kwa bidii mengine uongoHeri uamini ukute yapo kuliko usiamini ukute yapo utalia na kusaga meno