Tahadhali Maisha unayo ishi, kuishi duniani ni one chance.

Hakuna kitu kama hicho ni mbinu za kutawala akili za low minded ,kama kupo wanaokumiliki mbona wamekufanya siri ina maana wanavizia watu?unaweza kuhukumiwa bila kuwahi kuingia makubaliano ? kaka huu ni upuuzi ,ina maana wasio na imani zenu hizo walio majority watachomwaaa don be stupid bro fanya kazi kwa bidii mengine uongo
Tafadhali mwerevu nijibie haya maswali kidg kwa ufasaha vzr kabisa na mifano hai ukitaka Google kabisa

Swali no 1:
Kwanini sisi wanadamu na vyote vilivyomo duniani pamoja na dunia yenyewe tukawepo na chanzo chetu haswa ni nini?
Swali no 2:
Kama kila kitu kimekuja tu na ni asili kwanini sisi wanadamu tumekuja katika maumbile tofauti? Na hali yakuwa asili haibadiliki muundo wake,sifa zake, na wala ubora wake.
SWALI NO 3:
Kwasababu asili haibadiliki, kwa nini sisi tunakufa na wala sayansi haijagundua tiba ya hili?
 
Tafadhali mwerevu nijibie haya maswali kidg kwa ufasaha vzr kabisa na mifano hai ukitaka Google kabisa

Swali no 1:
Kwanini sisi wanadamu na vyote vilivyomo duniani pamoja na dunia yenyewe tukawepo na chanzo chetu haswa ni nini?
Swali no 2:
Kama kila kitu kimekuja tu na ni asili kwanini sisi wanadamu tumekuja katika maumbile tofauti? Na hali yakuwa asili haibadiliki muundo wake,sifa zake, na wala ubora wake.
SWALI NO 3:
Kwasababu asili haibadiliki, kwa nini sisi tunakufa na wala sayansi haijagundua tiba ya hili?
1. Chanzo chetu bado wanasayansi wanakifanyia kazi kwa kushirikiana na wanasayansi ,ila kuna wahuni wanaokuja na majibu ya tuvitabu tusito na ushahidi kuleta majibu mepesi kwa maswali magumu,zamani wagonjwa wa polio walikuwa 90% wanatupwa polini hakukuwa na kinga wala dawa ,asante wanasayansi leo polio imepatiwa majibu mazuri ,kutokuwa na jibu hakuwi sababu ya kuyaaamini majibu mepesi .
2.Hiyo asiri unayoiongelea ni ya sayari gani ? ngombe dunia nzima wanatoffautiana pia sisimizi ,paka ,nyoka mbwa kiasiri wanakuja kw maumbile tofauti
3.Watu wako maabara na tangu muda tuwe na kumbukumbu mwanadamu anazidi kuongezeka umri
1567011592836.png


Mfano sasa hivi kuna utafiti uko mwishoni wakuweka kongosho ya badia ugonjwa wa kisukari utakuwa historia kama polio,tuendeleee kusomesha watoto sayansi na kuwaruhusu kufikiri kwa uhuru kuboresha dunia ipo siku tutaweza ishi hata miaka 1000
 
1. Chanzo chetu bado wanasayansi wanakifanyia kazi kwa kushirikiana na wanasayansi ,ila kuna wahuni wanaokuja na majibu ya tuvitabu tusito na ushahidi kuleta majibu mepesi kwa maswali magumu,zamani wagonjwa wa polio walikuwa 90% wanatupwa polini hakukuwa na kinga wala dawa ,asante wanasayansi leo polio imepatiwa majibu mazuri ,kutokuwa na jibu hakuwi sababu ya kuyaaamini majibu mepesi .
2.Hiyo asiri unayoiongelea ni ya sayari gani ? ngombe dunia nzima wanatoffautiana pia sisimizi ,paka ,nyoka mbwa kiasiri wanakuja kw maumbile tofauti
3.Watu wako maabara na tangu muda tuwe na kumbukumbu mwanadamu anazidi kuongezeka umri
View attachment 1192200

Mfano sasa hivi kuna utafiti uko mwishoni wakuweka kongosho ya badia ugonjwa wa kisukari utakuwa historia kama polio,tuendeleee kusomesha watoto sayansi na kuwaruhusu kufikiri kwa uhuru kuboresha dunia ipo siku tutaweza ishi hata miaka 1000
Cha kwanza huna majibu ya uhakika Mi nataka majibu ya uhakika

Afu unajikanyaga kanyaga

Cha pili nimesema binadamu sio sisimizi wala nini

Cha tatu ndo upo out of point yaan OP KABISA
KWANINI MTU ANAKUFA SIO UTAFITI SIJUI TUTAISHI MIAKA 1000

THERE IS GOD THE CREATOR OF DEATH ,LIFE AND

YOU MADE MY DAY
 
Cha kwanza huna majibu ya uhakika Mi nataka majibu ya uhakika

Afu unajikanyaga kanyaga

Cha pili nimesema binadamu sio sisimizi wala nini

Cha tatu ndo upo out of point yaan OP KABISA
KWANINI MTU ANAKUFA SIO UTAFITI SIJUI TUTAISHI MIAKA 1000

THERE IS GOD THE CREATOR OF DEATH ,LIFE AND

YOU MADE MY DAY
Jibu bado tunalitafuta na biblia na gazeti la tanzanite yana majibu mepesi,mbona mzigo wa ukweli unantwisha mimi ,mimi kukwambia hakuna bado jibu zuri na maana kwenye madini ni mahari pa wasio na akili kujifariji,katika historia ya mwanadamu amewahi kuwa hana majibu kibao ambayo badae akawa nayo ,mi ndo nakushangaa wewe kw nini unaamini kwenye mungu anayejificha au hana majibu pia nn?hahahahaha bob marley alisema ''emancipate yourself from mental slavely ,non but yourself can free your mind''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom