cdc
JF-Expert Member
- Nov 29, 2015
- 445
- 419
Habari wadau. Pamoja na changamoto nyingi za foleni tunazokutana nazo (especially kwa wakazi wa Dsm) ambazo kwa namna moja au nyingine zinachangia kukwamisha au kupunguza ufanisi wa kazi zetu, lakini nimeona tukumbushane tu kuhusu matumizi ya barabara especially kwa wale tunaopenda kuingia kwenye barabara ya mwendokasi(BRT) kwanzia kipande cha ubungo maji hadi korogwe, mara kadhaa(wiki hii) nimeona watu wamekutana na mshike mshike baada ya kuwekwa kati na askali ambao wanakaa kwenye angle ambayo ukiingia kwenye mwendokasi lazima wakudake. Kutake risk ni jambo zuri ila sometimes costs zake ni kubwa. Nashauri kama haikulazimu kuwahi unakoenda vumilia kidogo tu utafika uendako. Pia kwa waliokutana na hili sekeseke la kukamatwa nnaweza kushare experience zenu tupate mawili matatu kutoka kwenu
Kiukweli jamaa wamechachamaa so take care.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli jamaa wamechachamaa so take care.
Sent using Jamii Forums mobile app