Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
uchaguzi wa kuchagua wabunge wa afrika mashariki uliofanyika jana tarehe 18/04/2012 bungeni dodoma, umeonesha mengi. Kubwa ni hili la mgombea wa cuf kushinda ushindi wa kishindo. Akiungwa mkono na karibu nusu ya wa bunge wote wa ccm. Taha Taslima uliiwapa nini wabunge wa ccm.huku prof aliejizolea sifa kemkem akikufuatia kwa mbali